Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah ila kweli majukumu yanapozidi collateral damage hutokea kwa michakato mingine kama JF...ahahahhahahhahaha ila nilikuwa mtunduuu!
siku hizi mezeeka mtani!
majukumu sijui na kamenopause kanachangia!
chaaaa!
uko poa lakin?
Doh!!hihihi mweee nihug kwa nyuma aseeee !
bulging from behind!
ala!
Nani huyo anaulizia nywele saluni...?ndio ujue kwake mi namba zote nakaa!
Asprin baba klaree kuna mtu ananiuliza eti mi ni shemejiiiii au mchepukooo au kishika uchumbaaaaa au mke wenuuuu au naaani!
MUELESE BABA!
niiini lakin jaman!Doh!!
We mwanamke wewe...
haaaaaaaaaaaaaaaaaaapo tu ndo sikuachi hata nikute uko na Khantwe sijui nani!Nani huyo anaulizia nywele saluni...?
Mwambie wewe kwangu ni kila kitu. Leo mke, kesho shemeji, keshokutwa mkwe, jana mchepuko, juzi mama. Mwaka kesho sijui nikuiteje...??
Kwanza nani huyo anayekuuliza na mamlaka hayo kampa nani?
naikumbuka ligi yake kule MMU na kina erickb52 hawa akina gudume wakasome hahaha au maybe ni watu wamejirenew
sawa kabisaaSILENT WHISPER
hahahaha kahtaan siwezi kumsahau kule jamii intelligence na kina kiranga duuh jamaa alikua na matusi ya rejareja ila upstairs alionekana yuko njema.Kahtaan
Mzee said Mohammed
Gavana