sana kabisa japo mjomba wako ananizengua kinyama..................
upo jamani siku hizi sikuoni humu au unakuwaga gt?
Inawezekana aisee...Hivi huyu si ndo Alberto ?
wacha kufukua makaburi aseeHivi huyu si ndo Alberto ?
one of my friends kabla sijaanza kujihusisha na id za kimagumashiMchambuzi
Inawezekana aisee...
Juzi kati hapa nilimcall mrembo mmoja kumbe alishafuta namba yangu bana...nikawa namzungusha kumwambia mie ni nani [emoji1] [emoji1] [emoji1] akaniambia wewe utakuwa The Boss tu...ha ha ha nilicheka sana.
Inawezekana aisee...Hivi huyu si ndo Alberto ?