binjo
JF-Expert Member
- Feb 22, 2016
- 2,115
- 1,247
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo vizuri sana Mungu ni mwema sana....
Wacha tuu aiseTupo vizuri sana Mungu ni mwema sana....
Maisha yametupoteza kabisa....
Wacha tuu aiseNipo rafiki. .umepotea hadi basi
Sana kiongozi maana bila hivyo tungepotezana kabisaSalama mkuu, naona tumepoteana angalau huu uzi umeturejesha mahali pamoja angalau tujuliane siha zetu...
Atakuwa kapanda cheo, sasa mama mwenye nyumbahouse girl yuko wapi huyu mdada nilikuwaga namu-admire sana
Poa aisee sie tupo tunapambana na uhenga wetuWacha tuu aise
Mihangaiko imekuwa mingi sana
Ila tupo sana
Hahaha umempandisha mwenyewe nini?Atakuwa kapanda cheo, sasa mama mwenye nyumba
Hahah nimefikiria tu Khantwe...Hahaha umempandisha mwenyewe nini?
Unamtafutia wapi na mimi nipo hapa...nilikuwa nakutega ujueHahah nimefikiria tu Khantwe...
Mimi natafuta wa kumpandisha cheo...