Jamiiforums member's party

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna namna inabidi tukupe bucket za kutosha sana ili ukwende huko

Duh, inabidi tukifika huko tukae kwa majukwaa husika.

Mimi nipelekeni MMU moja kwa moja.
 
Si ndo mwanzo wa kuonesha nyuso zetu huo bro,wengine familia zetu zinasimamia nguzo moja sa tukiwa wachochezo ambao hide my id ndo iwe live mkuu?
 
Asa curious bila kutambulishana utajuaje kuwa huyu in mshana Jr au darubi.
Angalizo: wasiojulikana watajàaaaa hii inatakiwa iwe planned vyema
 
Nilishaendaga kwenye shughuli moja mkuu watu wanaongea kwa kufahamiana na wote tuko wassap mimi nikaondoka mapema as soon as nilipoondoka nikaleft group wassap.Wakajaribu kunicheki sikujibu mtu
Ulifanya la maana mkuu,hata mm ningefanya hivyo
 
Baada ya kuonana tukisha maliza nini kitafuata...? Maeneo ya kukutana kuwe na ulinzi wa msaada wa mashirika ya ujasusi wa Marekani, N.Korea na Israel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…