Jamiiforum's members tubadilikeni

Jamiiforum's members tubadilikeni

Baada ya jamii forums kuwa suspended kwa mda kidogo nimejikuta kuwa mzito kidogo kuingia jf mara kwa mara tofauti na ilivyokuwa awali nadhani sio mm tu hata members kibao siwaoni wakipost tena nahisi wale jamaaa walitutoa ktk mood.

Niende kwenye mada;
Juzi nmekuwa very disappointed baada ya kuingia jf yani kila nikichek new posts nakutana na habari za udaku udaku tu nmefanya hivyo mara kadhaa mara Munalove kafanya hivi, mara Woya kavaa vile, mara sijui Mond kavaa kikuku .

Ni kweli kikatiba kila mtu ana haki ya kujieleza ilimradi tu asivunje sheria ila hayo maudaku sio kwa Great thinkers coz great thinkers always speaks/talk about ideas na weak people talk abt others jf tusifike huko mbona kuna mambo mengi tu ya kuzungumza ambayo yanaweza kumsaidia msomaji sasa mimi ukiniambia habari za Shilole nafaidika vipi?

Ni kweli hatuwezi kuwa serious mda wote but ni kweli pia hatuwezi kumake funy mda wote tuutumie huu mtandao vyema ili hata tuwe proud "ebwana mimi situmii hiyo mitandao yenu ya udaku natumia jf" hata asiyekuwa member akiingia anajua kuwa for real jf is the home of great thinkers sio kuingia tu anakutana na "jamani mademu wa jf ni maharage ya mbeya"

NB
Ni mawazo yangu tu
Siwakatazi na hata nikiwakataza neno langu sio sheria.
kweli kabisa - haya maumbeaumbea yanaishushia sana hadhi JF yetu.
the thing is getting into my (probably most other members') neck now!

mods sikilizeni ushauri huu.... siyo lazima mfanye exactly ilivyoshauriwa lakini something similar but effective:

1. posts za umbea, maisha binafsi ya watu, nk ziwe zinawekwa kwenye forums za "chit-chat" na/au "celebrities"

2. hizi forums 2 zisiwe accessible kwa JF members wote - isipokuwa of course kwa wale watakaokuwa wamejisajili huko (I mean link zake ziwepo kwenye menu ya JF lakini lakini ni members waliojiandikisha tu ndiyo wapate access kuingia humo)

3. members hawatakiwi kutuma aina hii ya posts nje ya forums hizo 2. member akitenda kosa la kutuma posts za aina hii kwenye wrong forums zaidi ya mara 1, achukuliwe hatua stahiki na mods.
 
huu nahisi ni uongo,jukwaa la celebrities haliko kwenye ku refresh page/new posts
 
Ni muhimu sana kujifunza kuishi na watu wa hulka zote, otherwise utakuja kupata kiharusi.

Siku hizi hata huko siasani kuna udaku, umbea na uzandiki mkubwa tu. Jifunze tu kuishi na watu, hutaumiza kichwa.
 
Tatizo ni JF kujaa vitoto vya sekondari ambavyo kwao "ngono" is still a mystery na ndiyo maana utaona hoja nyingi sana humu zimekaa kingono ngono sana na kiudaku udaku.

Jamii Forums is no longer a platform for great-thinkers, it is a platform for the dumb and shallow thinkers. Watu ambao kazi yao ni kujadili habari za udaku, umbea na ujinga ujinga.


Kongole kwa uelewa huo mkuu
 
kweli kabisa - haya maumbeaumbea yanaishushia sana hadhi JF yetu.
the thing is getting into my (probably most other members') neck now!

mods sikilizeni ushauri huu.... siyo lazima mfanye exactly ilivyoshauriwa lakini something similar but effective:

1. posts za umbea, maisha binafsi ya watu, nk ziwe zinawekwa kwenye forums za "chit-chat" na/au "celebrities"

2. hizi forums 2 zisiwe accessible kwa JF members wote - isipokuwa of course kwa wale watakaokuwa wamejisajili huko (I mean link zake ziwepo kwenye menu ya JF lakini lakini ni members waliojiandikisha tu ndiyo wapate access kuingia humo)

3. members hawatakiwi kutuma aina hii ya posts nje ya forums hizo 2. member akitenda kosa la kutuma posts za aina hii kwenye wrong forums zaidi ya mara 1, achukuliwe hatua stahiki na mods.
Well said
 
Ni muhimu sana kujifunza kuishi na watu wa hulka zote, otherwise utakuja kupata kiharusi.

Siku hizi hata huko siasani kuna udaku, umbea na uzandiki mkubwa tu. Jifunze tu kuishi na watu, hutaumiza kichwa.

Nikipata kiharudi mkuu ww utapata kimsiba
 
Jamii Forums Kuna Majukwaa Mengi Sana, Na Kila Jukwaa Lina Maudhui Yake.!

Ukiona Hapa Hapakufai Nenda Pale, So Simple!
Ni kweli ndio maana hauwezi kumkuta mwanakijiji nje ya Jukwaa la siasa au Warumi Nje ya jukwaa la celebrities au Chief Mkwawa nje ya jukwaa la teqnolijies,kwa kutambua hivyo Viongozi wa jF wakaweka majukwaa tofauti.
 
Kusoma habari au post kwenye jukwaa fulani ni interest yako sio lazima ulazimishwe,mbona kuna habari nyingi tu nazipita bila kuzifungua

Pia kuweka au kujadili madhaifu ya mtu ni njia mojawapo ya kujifunza kwa mtu mwingine

Uboya wa mtu ndio marekebisho ya mtu mwingine

Mtu hujifunza kwa mtu mwingine mabaya au mazuri
 
Nahisi hamjagungua tatizo. Kwa uelewa wangu naona tatizo lipo katika mada. Mada zenye mashiko hayo ambayo zinaitwa za kigreat thinker zimepungua sana tofauti na kipindi chchote cha nyuma ( kuna sababu kwa hili; sheria za mtandao, woga na moderators being moderators). Hii inapelekea mada za Jamii Intelligence kuwa chache tena zenye mlengo wa dini tu. Huku kule siasani mada ni zilezile sura zilezile reply ni zilezile za kuitana nyumbu. Hivyo, mada za MMU, Celebrity, ChitChat zinaonekana in nyingi lakini jibu in kuwa zile nyingine zimepungua.
Nb
Siyo wote wanauwezo wa uandishi mzuri ktk majukwaa ya serious topic hivyo ukimwambia mtu si upost wewe...inakuwa haijasaidia bado
 
Ukishindwa kuishi na watu kwa kuvulia vile ambavyo hauvipendi utajikuta unakasirika kila muda.

Jifunze kupuuza vile ambavyo unahisi sio level yako au havikufai.

Jifunze pia kukubali vile ambavyo hauwezi kuvibadilisha kwa wakati husika.
he he he..beaut with brain .... Castr
 
Back
Top Bottom