JamiiForums naomba mnipokee

Mimi ndio huyo na sio mwingine so sijajakumtamanisha mtu maana hata mkiingia hapa mtaishia kuchunwa hela za vocha tu bora mtulie
Mbuta:
Ngoja niingize gari getini kwanza kumbe ndo nia yako hiyo
 
Hizi ni picha za dem yuko south ata kiswahili chenyewe hajui
Sa nashangaa midume inakuja kupost uku kuwa ndo yenyew[emoji23][emoji23]
Huu utakuwa ushoga

View attachment 1243602
Asante sana Mkuu kwa kummaliza huyu memba hewa mapema, najua huu uzi ndiyo ameshautelekeza mapema hawezi kurudi, ngoja tukakutane naye huko anakovinjari majukwaani naamini kama hapa katunywesha chai huko tutegemee chai yenye viungo vingi zaidi
 
Huyu Konki wa siku zote humu ndani. Reply zake na hizo picha za attention ambazo si zake halisi ni kielelezo tosha.
Naona ID ya zamani ime hold mambo.

Kuna tukio kafanya nyuma ya pazia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…