wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Aisee[emoji2][emoji2]K nyama kazini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee[emoji2][emoji2]K nyama kazini
Itakuwa kaweka picha kwa sababu ya wale wanaojiita Mafisi Shem. 🤣🤣🤣kweli shemela, anatusanifu.
Yaani wewe ni mimi kabisaAah aiseee ukitoa khanga hapo ulipoiweka nitakukumbuka vizuri tu
Wee wa block ujichanie mkeka kwa ujinga wakoHahahahaha watakutana na block au huku hakuna?
Siku zote ungekuwaga mstaarabu kama leo jf ingekuwa na waungwana sanaUnapatikana wapi mami?
Mbuta:Mimi ndio huyo na sio mwingine so sijajakumtamanisha mtu maana hata mkiingia hapa mtaishia kuchunwa hela za vocha tu bora mtulie
Kwa hilo naomba nimjibie ipo mkuuChura ipo?
Vifaa kama hivi hana ujanja huo yeye kashazoea kuokota wagogo wasiojielewaZero IQ njoo huku
Asante sana Mkuu kwa kummaliza huyu memba hewa mapema, najua huu uzi ndiyo ameshautelekeza mapema hawezi kurudi, ngoja tukakutane naye huko anakovinjari majukwaani naamini kama hapa katunywesha chai huko tutegemee chai yenye viungo vingi zaidiHizi ni picha za dem yuko south ata kiswahili chenyewe hajui
Sa nashangaa midume inakuja kupost uku kuwa ndo yenyew[emoji23][emoji23]
Huu utakuwa ushoga
View attachment 1243602
trueeee........shem.Itakuwa kaweka picha kwa sababu ya wale wanaojiita Mafisi Shem. 🤣🤣🤣
itakuwa hivyo shemela.Shem waeza kuta ni dume hilo ujue. 😅😅