JamiiForums naomba mnipokee

JamiiForums naomba mnipokee

Nawakumbusha mabaharia.
Hii awamu sio ya kuingia kichwa kichwa kwa wanawake msiowajua vizuri, tamaa mbele mauti nyuma.

Nimeona picha iko njema sana sasa hakikisheni vichwa vyenu vya juu vinafanya kazi kuliko vichwa vya chini.
Kuna watu wanawindwa hapo
 
Umeona Toto hilo?
Halimpiti huyu! Huyu ni kiboko zaidi!
tapatalk_1565497606718.jpeg
 
kama wewe ndio huyo we nichune tu hata NGOZI ukitaka

vocha haitoshi mama niparue haya mavinyweleo yoteee

ikiwa tu kweli wewe ndio huyo

SASA ole wako nikute ni kakitu ka ajabu nakwambia UTATAPIKA

ulivyonchuna so kwa sasa naomba shika wembe Jiandae Najimuvuzisha PM.

Mrejesho tafadhali
 
Back
Top Bottom