Mume wetu sijamuona nina kama miezi vipi jamani umemfichia wapi?mruhusu atoke hata cku moja moja
Kuku kaingia mwenyewe bandani!
Aaaaaah kumbe una michepuko eeeh!Ngoja nikusemehe ili nibakie mie mmiliki mwenyewe......lol
Ahsante kwa kujali maslahi yangu....... chap chap sana!!
Issshhh..... ndo nini sasa mguno huu??Kahhh jaman
Kasema atakuja desemba we jizoelee tu.
Mmh we naweee!!!
Hiki choo cha kike tangulia wewe mwenyekiti.....:cool2:
Jaman wana mmu mie nmgeni humu sio mbaya hata mki ni pm sio mbaya na mm nijue maana ya pm.....pia nmekua nikivutiwa na post nyingi na jinsi mnavokoment
Hahahahaaah,,,,,,babu inaonekana umepewa za uso huko PM..Hiki choo cha kike tangulia wewe mwenyekiti.....:cool2: