JamiiForums party

bishororo

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2017
Posts
254
Reaction score
358
Habari wakuu,

Jamani hivi kwanini tusiandae ki event flani hivi wana JF twende tufahamiane vizuri hata bila kutambulishana ID zetu za JF ingekuwa poa tufahamiane freshi wadau ni mawazo tu.
 
kwa nini tuwe na wasiwasi,mie ninaafiki hilo wazo kama unachangia ukweli hauna haja ya kuwa na woga,watanzania bana kweli sisi ni makondoo,sorry sio kuwa sina heshima ila kitu kidogo tunaogopa vivuli vyetu.
 
kwa nini tuwe na wasiwasi,mie ninaafiki hilo wazo kama unachangia ukweli hauna haja ya kuwa na woga,watanzania bana kweli sisi ni makondoo,sorry sio kuwa sina heshima ila kitu kidogo tunaogopa vivuli vyetu.
hebu wambie yan watu wanaishi kwa mashaka polis watudake kisa nn
 
Ili iweje we wacha tuendelee kupigan vikumbo kweny mwendokasi,.. Kujuajuana mwishowe utajua ata majini,
 
Itakuwa disco la mchana au usiku? Maana kuna kina rika kuanzia 15 yrs hadi 60.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…