Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
Umeona eeh...Hahahahhh !
Uyo mwanamke atakuwa akupendi asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eeh...Hahahahhh !
Uyo mwanamke atakuwa akupendi asee
Kweli baba P haswa ukisoma uzeeni na familia unayoYupo bize bwana anafanya mareseach si unajua elimu haina mwisho??? Boss
But soon atakuja hapa
Cc cute b
Alijibuje hapa vile?Hongera zake nikajua umesha pregnate
Teh Bora umalize tuu urudi nchini.Kweli baba P haswa ukisoma uzeeni na familia unayo
Huyo mbona amefichwa tayariPita tu ila umfiche huyo chura nisije nikamuona mimi
Nilijua amekudanganyaa.Alisema unalea eti
I miss you too my Darling.Teh Bora umalize tuu urudi nchini.
Mama p. Miss you dear
Daby we jamaaTafuta linalonuka ukanuse [emoji57][emoji57]
Ha haa ha hafurukuti hapaItakuwa unamwendesha kwa remote sio bure
Wapya??? Dah ntaanzia wapi?? Zile pincode zako ulizoacha si ntanata...unajifanya umesahau??I miss you too my Darling.
Nasikia umepata wapya humu