Ulikunywa beer flat nini?Namsikilizia wife anakoroma tu hapa pembeni yangu...mie tangu saa tatu usiku tumbo linanipigisha marktime kadhaa za maliwatoni...mpaka dakika hii nshagonga safari za toileti kama 4 hivi
Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarareDunia ni mviringo huku mchana kule usiku
Yaani hata sijui nimshike nani hapa...inshort jana nimechanganya sna mavitu i see...Ulikunywa beer flat nini?
Ukiona ikifika kuanzia saa 8 usingizi unakata, ujue Mungu anakuamsha ufanye ibada.
No escape stay awake!Sijalala! Shemeji yenu kaninyang'anya laptop leo...