Huyo mtu wako simtaki maana ntaonekana sina akili kwa kucheka pasipo mpangilio maalumNey ukuje huku nikupe mtu
Hahahasija juaga bhana kaka angu nani alimtenda humu jf .
sjui alipaga miadi akakutana na zimwi! [emoji23]
ila huwa nawish sku moja ata rudi i loved that brother
Namwelekeza tuu mieKwahiyo mnafundishana?
Kabisaahahaha
this is all about you
dada anapenda nifanikiwe [emoji23]
hahahaNey ukuje huku nikupe mtu
Oopshahahaha
inabid niwe muhenga sasa
kila kitu kiwe kilinipata mie
usjali sku hiyo ntakuwa superhuman [emoji23]
Hahahahahaha
nazifanya stori za vita ziwe romantic [emoji23]
Acha hizo bhanaHuyo mtu wako simtaki maana ntaonekana sina akili kwa kucheka pasipo mpangilio maalum
aaahHuyo mtu wako simtaki maana ntaonekana sina akili kwa kucheka pasipo mpangilio maalum
Hivi ulisema unamuagizia meli eehhahaha
ujue Ney hatuwez kumpata ki easy hivi we gotta do more.
yaanHahaha
Yaani nimemmiss kweeeli... Sikutegemea ka atapotea hivi jamani
Mie huo uzi niliupinga kwakweli katafute comments zangu utaonaaaah
ila jaman juz hapa si mlitufungulia uzi tuwe tuna wachekesha
leo tena hiko ndio kigezo cha mie kukataliwa! [emoji23]
mweer!
HahahaMie huo uzi niliupinga kwakweli katafute comments zangu utaona
hahahahHivi ulisema unamuagizia meli eeh
ayaaaMmenikumbusha story yangu moja nitawahadithia siku nyingine [emoji3][emoji3][emoji3]
Ahahahaaaaaa uwiii watimue wotehahahah
yeah.
yaan sista
kwa Ney ntampa dunia, japi sjui nyie wengine mtaenda kukaa wapi
Mwenzangu alipatwa na nini lakini...yaan
aliniuma supermarkt hadi bas yaan
halaf aligoma kabsa kuniaga privately.
nilimtafuta six times, nilimwandikia brother come back say something then you can go, lakini hakuja alitokea kwenye uzi tu na kusema nisiwe na was was he is safe.
i hope sku moja ata kuja. i hope lakin
usjali bas sku hiyo i promise youMie huo uzi niliupinga kwakweli katafute comments zangu utaona