Tangu exile ya ile siku mkuu umesusa nyumba. But why.[emoji24][emoji24][emoji24]Hahaaa bichwa lichafu niaje..
Haya utafanya vema sanaYeah utakuwepo kwenye list
Namuona kwa mbaliHa ha haaaa ushamshtukia eeh?
Nakuona jirani yangu ulipo nipoJirani hivi unanichingua dirishani nini mbona kama umeniona.
Nimefurahi kukuona kwamba ni wa KIBITI.Ahsante sana"
Nambiie dear Dark Angel
Ha ha haaaa mpaka nimetoa sauti yani namuombea mruhusu tu mana ameomnaUnataka kukimbia?
Ha ha haaaa mnanifurahisha mjueJirani hivi unanichingua dirishani nini mbona kama umeniona.
Hamna neno jirani , kuwa na amani kabisa.
Wewe majukumu hadi night Kali??Nipo salama kabisa khofu kwako
Jana nilibanwa na majukum ila leo pamoja
Pande zipi kama kuna rubudani tutimbe huko
Nimeshamruhusu acha apumzike tuuHa ha haaaa mpaka nimetoa sauti yani namuombea mruhusu tu mana ameomna
Good night NeybrightNakuona jirani yangu ulipo nipo
Safiii kabisa ur welcomes huku ni shwariii ila usingizi ndo umeruka..Nimefurahi kukuona kwamba ni wa KIBITI.
How is there..?
Sent from my IPhone 7 plus by using JamiiForums mobile app
Umetisha, ukilala Nita kujoin boss.Nikilala nakuona ila nikishtuka nakufuata;;;Dark angel na Neybright[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Ahahahaa mie lazma nikuchungulieNikilala nakuona ila nikishtuka nakufuata;;;Dark angel na Neybright[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Yakizidi mchana uchovu mwingi hamna namna ni kulala tuWewe majukumu hadi night Kali??
Au uchovu ukasinzia mkuu?
Nipo ndani kwangu hamna hata cha burudani mkuu
Sent from my IPhone 7 plus by using JamiiForums mobile app