Nimekumalizaje Shunie?[emoji3][emoji3][emoji3]Ney ghafla nilisinzia naingia humu na kuta manga kanimaliza
Ndugu yangu hii ni mali yako nini? Najua sasa hivi ambao hawajalala wapo lonely sana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
asee ndugu yangu
umekuja kwa gia gan tena hiyo
Hahahaha.Nimeamua leo kuchungulia humu tena huyooo nakukuta umejaa tele.
sasa Ney nime mpuuziaje hapo?Naona umempuuza kakaangu
Acha tu Manga ujue nakuheshimu sana yaanOndoa woga tufanye upendavyo
Aisee manga zali la mentali hilo au tukutafsirie maana yake?Nimekumalizaje Shunie?
Huu utafiti ni kweli kabisaNdugu yangu hii ni mali yako nini? Najua sasa hivi ambao hawajalala wapo lonely sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji134] [emoji134] [emoji134] manga ujue yupo serious ney naogopa
Shunie ujue nikiona meseji zako daaah! Shunie unalala sa ngapi kwaniAcha tu Manga ujue nakuheshimu sana yaan
hahahahaNdugu yangu hii ni mali yako nini? Najua sasa hivi ambao hawajalala wapo lonely sana.
Huyu itakuwa anakukubali ukifumba macho.Afu Shunie najua hunikubali ila kwa nn nakuota ota usiku?
Nitajitahidi Ney jamaan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utakoma shunie itabidi tuu upambane
Mbona mie napambana
Kwahiyo huna huluma na mimi au hukuelewa nilicho andika?Kwahiyo nikuitie miss natafuta
[emoji134] [emoji134]JAMANI!
Wakati naaga si nikaona hiyo avatar ya Shunnie!
Usingizi umepaaaa!
She's a bombshell
- KANA -
Ndio maana na sisi wengine tuko hapa kwa ajili yenu. Tunawapa attention kama hivi ili kukupa amani moyoni na tabasamu usoni.Huu utafiti ni kweli kabisa
Basi nitakuwa sijaelewa nisamehe tu jamaan mangaKwahiyo huna huluma na mimi au hukuelewa nilicho andika?
Nimekuelewa ivugaNdio maana na sisi wengine tuko hapa kwa ajili yenu. Tunawapa attention kama hivi ili kukupa amani moyoni na tabasamu usoni.
Nadhani unaelewa ninachomaanisha.
Ney kwa nini umeni block kwenye pm? Au kuna kitu ninekukoseaUlale salama best