Leo hukimbilii sitting room? Acha ukorofi mwanamke weweHaha.. Mbna mrija.. Nimemnyima Leo ndomana unaona visa.. Anatafta kumi na nane alaf mie ndo nishamsoma.. Tunakesha Leo huhuhu
Kwakweli hakuna kitakachoharibikaNi pm nikupe chemistry ya iyo kitu maana unaeza tengeneza hata ukiwa home.. C unajua tena Sie against them.. Watakoma!
Leo hukimbilii sitting room? Acha ukorofi mwanamke wewe
Haya mama all the bestAkuu! Kisa cha kutoana vishipa usiku wa manane ni nin.. Ngoja leo nivundike penz kidogo best
Ney B!Ungea vizuri na kakaangu, ila tuu make sure hauna anguko la kiuchumi [emoji28][emoji28]
Maana naskia kuna msemo wanasema bora umwage machozi kwenye vogue kuliko kumwaga machozi kwenye baiskeli [emoji6]
Usiende tu kumpa ile chemistry yenu ya kojo akaharibu kichwa ya kijana wa watu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni pm nikupe chemistry ya iyo kitu maana unaeza tengeneza hata ukiwa home.. C unajua tena Sie against them.. Watakoma!
Haya mama all the best
Huba likikolea hana ujanja huyo [emoji23] atanuna mwisho atacheka, [HASHTAG]#Financial[/HASHTAG] crisis [HASHTAG]#hahaha[/HASHTAG] kwa shida na rahaUngea vizuri na kakaangu, ila tuu make sure hauna anguko la kiuchumi [emoji28][emoji28]
Maana naskia kuna msemo wanasema bora umwage machozi kwenye vogue kuliko kumwaga machozi kwenye baiskeli [emoji6]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usiende tu kumpa ile chemistry yenu ya kojo akaharibu kichwa ya kijana wa watu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Usiku mwema...Likewise.. Ngja niupunyue mtoto wa kichaga mie.. Bundiz and popoz ciao jaman..
Like wise...
We jidandanye tuu[emoji28] [emoji28]Huba likikolea hana ujanja huyo [emoji23] atanuna mwisho atacheka, [HASHTAG]#Financial[/HASHTAG] crisis [HASHTAG]#hahaha[/HASHTAG] kwa shida na raha
Hii shida na raha no thank youHuba likikolea hana ujanja huyo [emoji23] atanuna mwisho atacheka, [HASHTAG]#Financial[/HASHTAG] crisis [HASHTAG]#hahaha[/HASHTAG] kwa shida na raha
Asili yetu ukiwa shabab [emoji23]Mmmh! Utakua una... Na wew eeh! Sio bure
Usiku wako uwe mwema pia.Jamani naomba niwaage mume ndio anaingia, niwatakie usiku mwema nyote, thanks for campan
raha pekee ni kwa michepuko tu,otherwise tusubiri ulimwengu wa keshoHii shida na raha no thank you
[emoji120][emoji120][emoji120]Usiku wako uwe mwema pia.
Na mkawe na Kazi njema.