Asanteh mpzJamaan leo nipo dia
Unaongea na mimi ivuga au unaongea na inna na relatoHivi kwa nn hunikubaliii?
[emoji3][emoji3]Mi nimekuja. Nipo lonely
Unatuacha Ney jamaan[emoji3][emoji3]
Malizana na shunie tuu
Kwanza wewe tuna kesiMi nimekuja. Nipo lonely
Hapana bado nipo mpaka saba kamiliUnatuacha Ney jamaan
Na wewe hapo.Unaongea na mimi ivuga au unaongea na inna na relato
Tupo wote nahisi mwenyewe mpaka mida hiyo nitaondokaHapana bado nipo mpaka saba kamili
Mimi leo nipo.Sikuoni wewe
Manga wala iceman
Naona wote mmekimbia
mrembo ney kumbe na ww memba hili kundi la mapopoJirani mzima wewe?
Saa saba za tz? Au za japan. Sasa mm nitabaki na nani? Na shunie?Hapana bado nipo mpaka saba kamili
Mie mke wa mtu ivuga jamaanNa wewe hapo.
Inna na relato ni watu wangu ninaowakubali nao wananikubali.
Ila kiundani hakuna lolote sio kama mahondaw couple. I guess watu wanadhan kuna kitu ila hakuna.
Mambo?Jamaan leo nipo dia
Naijua hio kesi kipenzi.Kwanza wewe tuna kesi
Na mie saa 7 nahisi naingia kulalaSaa saba za tz? Au za japan. Sasa mm nitabaki na nani? Na shunie?
Poa manga za wewe jana nilikuepoMambo?
Jana ulikua wapi?
Kwani mm nimekataa? Najua sana. Namaanisha kwa nini unaniwekea tinted mara nyingii wakati mm nakukubali kama dada yangu?Mie mke wa mtu ivuga jamaan
Siuliondoka naye wewe, mimi ndio napaswa kukuuliza kijana wangu yupo wapi mbona shemeji yangu mnanitesa namna hii?Mimi leo nipo.
Jamaa yangu yupo wapi?
Ufanye uimalize tu, nimekumiss pia kipenzi..Naijua hio kesi kipenzi.
Tutaimaliza kimya kimya. Ha ha ah ila wewe mzima??
Nimekumiss sana