Mmmh ivuga lini nilikuwekea tinted mara ya mwisho tulikutana kapuku nimekuquote ukachunaKwani mm nimekataa? Najua sana. Namaanisha kwa nini unaniwekea tinted mara nyingii wakati mm nakukubali kama dada yangu?
Yani nyie. Mm nitabaki na nani sasa hapa?? Ndio maana mnasababisha nijishtukie kuwa natengwaaaNa mie saa 7 nahisi naingia kulala
Yaan acha kabisa
Hapana nilimuacha jana nikachungulia hayupo sina taalifa yeyote apa juu yakeSiuliondoka naye wewe, mimi ndio napaswa kukuuliza kijana wangu yupo wapi mbona shemeji yangu mnanitesa namna hii?
Wewe utabaki na shunieSaa saba za tz? Au za japan. Sasa mm nitabaki na nani? Na shunie?
Ahhahaha ebu tuendelee tutakaposinzia hapo hapoYani nyie. Mm nitabaki na nani sasa hapa?? Ndio maana mnasababisha nijishtukie kuwa natengwaaa
Hapo kidogo umenipa moyo.Ahhahaha ebu tuendelee tutakaposinzia hapo hapo
Niko poa pia haya kama ulikwepo ila sijakuonaPoa manga za wewe jana nilikuepo
Nilikuepo ila humu ndio sijaingia kabisa mangaNiko poa pia haya kama ulikwepo ila sijakuona
Shunie tatizo lake nikiongea naye anajin'gata n'gata vidole na haniangalii machoni. Anamaanisha nini labda??Wewe utabaki na shunie
Mie nitaenda kulala
EwaaaaaHapo kidogo umenipa moyo.
Nimefurahiii sana
Usifikirie vibaya banah, tupo pamoja saintYani nyie. Mm nitabaki na nani sasa hapa?? Ndio maana mnasababisha nijishtukie kuwa natengwaaa
Nimechoka kulala mwenyewe itabd kwa pamoja tulitafutie ufumbuzYaan acha kabisa
Mambo vipi aiseeh? Kulikoni mbona hujalala shida nini?
Ni kweli ashukuriwe aliye JUU.Mungu ni mwema kwakweli tunamuombea azidi kuimarika relato wetu [emoji120]
[emoji120] [emoji120]Ni kweli ashukuriwe aliye JUU.
Asante dada yangu. Nimefurahi sana. Yani mtu akinipa attention kidogo na appreciate sanaaaa kupitiliza.Usifikirie vibaya banah, tupo pamoja saint
Bola umuuze mimi nihesabu paa tu hakuna namnaWewe utabaki na shunie
Mie nitaenda kulala