Embu tuelezee kwa kifupi kwanini hujapata usingiz?Neybright ,Shunie,Saint Ivuga,
Nawinda bila bunduki Saint Ivuga ndomana sipati wala usitie shakaManga ML mida hii unawinda unataka uondoke na dada zangu hawa au upo unapiga tu stori kama mimi?
Una mafumbo manga jamaan ila mie nakuelewa sana ujueNawinda bila bunduki Saint Ivuga ndomana sipati wala usitie shaka
Haya mfumbuzi wangu mimi itachukua muda kukuelewaUna mafumbo manga jamaan ila mie nakuelewa sana ujue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya mfumbuzi wangu mimi itachukua muda kukuelewa
Na kwako pia dia [emoji8]Jamani mie nawakimbia mbaki salama, niwatakie usiku mwema nyote.
Nilikuwa naangalia movies.Embu tuelezee kwa kifupi kwanini hujapata usingiz?
Acha tu mkuu ukinyimwa faraja na hujui jinsi ya kuiomba upopo utakuhusu tuManga ML nakuona popo.
Na weye pia uwe na usiku mnonoJamani mie nawakimbia mbaki salama, niwatakie usiku mwema nyote.
Ucku mwemaJamani mie nawakimbia mbaki salama, niwatakie usiku mwema nyote.
Asanteh sanaNa weye pia uwe na usiku mnono
AsantehUcku mwema
Utafanyaje boss wangu?Acha tu mkuu ukinyimwa faraja na hujui jinsi ya kuiomba upopo utakuhusu tu
Thanks loveNa kwako pia dia [emoji8]
Hakuna namna hapa ni kubadili channel tu bila kujua naangalia niniUtafanyaje boss wangu?
MieNani yuko macho jaman tubadilishane mawazo