mwanao amekuamsha usiku huu anataka kukojoa eeh?Tangia nimkojoze mtoto usingizi umekata,, Jf burudani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] bado mapemaHivyo eeh kwahiyo tusikusajili mpendwa?
Nimemuona aiseeh shukrani Manga i hope it's your effort
daaah!Pole sana Ney amepotea nae baada ya wewe kupotea ha ha haaa ngoja tumsubili
Akitoka naomba aniage tu leo ntakua nae mimihahahaha
kwenye hili chama ni.mgeni
huwa.ana wahi kulala sanaa huyu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naskiza majirani wakitundu lissu
Sawa mimi naomba ushirikiano wako tu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] bado mapema
aah! bwana shemeji shkamoo
Nipo Manga nilisusa tuu kila siku baby hayupo nikaona isiwe tabu kwanini nijitese?Pole sana Ney amepotea nae baada ya wewe kupotea ha ha haaa ngoja tumsubili
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Akitoka naomba aniage tu leo ntakua nae mimi
Kabisa yani hem muulize sasa aseme nini shidaNimemuona aiseeh shukrani Manga i hope it's your effort
Ha ha haaa uzuri tulikimbia wote humu zaidi ni kuchungulia tudaaah!
braza nlikuwa nna muwaza Ney e'day
sema bas tuu ndio nikajua kidogo upo utakuwa una mlinda linda kia iana maana jf kuna vijana wakware sanaa
Ney my lovely ladyNipo Manga nilisusa tuu kila siku baby hayupo nikaona isiwe tabu kwanini nijitese?
Mie naogopa kumuuliza asije nijibu jeuri nikashindwa kulala tena MangaKabisa yani hem muulize sasa aseme nini shida
braza mitihani ya maisha si unajua tenaHa ha haaa uzuri tulikimbia wote humu zaidi ni kuchungulia tu
Asa hata kuslimu tu tukajua uko poa umefikirisha watu ujue
Nakuamini sana tu nasubili[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
tutaongea kwanza kijana
Kweli bhana hali huwa tete ukiwa mpweke at wala sikulaumu karibu tenaNipo Manga nilisusa tuu kila siku baby hayupo nikaona isiwe tabu kwanini nijitese?
I missed you more baby [emoji26]Ney my lovely lady
i missed you like crazy