Inategemea ntu na ntu ndugu ha ha haaahahaha
usjal dark angel hanaga tatzo yule ako fresh
hahahaInategemea ntu na ntu ndugu ha ha haaa
faida ya JPM ni ipi hasa?Natafakari kuhusu ugumu wa Maisha. Ila namushukuru mola kwa kutuletea JPM maana nchi hii ilikuwa kama shamba la bibi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa hakuna namnahahaha
bro tujifunze kuhamisha malengo
nadhani majeshi yote yaelekezwe kwa DA.
ukifungwa mlango mmoja Mungu hufungua mwengine
yeahNi kweli kabisa hakuna namna
Ha ha haaa unanipa imaniyeah
songa mbele usirud nyuma.kaka
Ilivyokuwa "shamba" la bibi hali yako kimaisha au mtaani kwenu ilikuwaje na sasa si shamba la bibi hali ikoje?Natafakari kuhusu ugumu wa Maisha. Ila namushukuru mola kwa kutuletea JPM maana nchi hii ilikuwa kama shamba la bibi.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaHa ha haaa unanipa imani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ilivyokuwa "shamba" la bibi hali yako kimaisha au mtaani kwenu ilikuwaje na sasa si shamba la bibi hali ikoje?
Compare and Contrast kisha Rudi usingizini kuendelea na Ndoto yako.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mabachela utawajua tuu
Kwahio mkuu umeamua kutusaidia kazi sisi mapopo tunaokesha ?
Eeeeh ndugu yangu siunajua JF ndio homeKwahio mkuu umeamua kutusaidia kazi sisi mapopo tunaokesha ?
Sawa mkuu ! The place where we dare to speak freely on conditions of anonymity.
pole sana ndugu. haya maisha tunapita tumuombee aliyetangulia makaazi mema akhera InshaAllahNipo msibani R.I.P MAMA