Ahsante sana mkuupole sana ndugu. haya maisha tunapita tumuombee aliyetangulia makaazi mema akhera InshaAllah
Ahsante sana mkuu
Pole mkuuNipo msibani R.I.P MAMA
Pamoja mkuuPole mkuu
hahahamupoooooo
Hulali?jamaniii
wana ukumbi leo siyo kwa mdororo huu
Mmh mbona kimya hivi jamaan jirani nimekumiss ujuehahaha
tupooo
mimi niko lindo hapa.Hulali?
Jesus is my saviour and a friend
siyo kwa kutupana huko jiraniMmh mbona kimya hivi jamaan jirani nimekumiss ujue
Mbona me naonekana jirani jaman labda juzi na jana tu ndio sijaonekana sababu we jirani ulikimbia mpaka ney alikua anakutafuta sanasiyo kwa kutupana huko jirani
nipo sanaa nimejaa tele, nakumiss sana pia
za kutukimbia hapa?
hahahahaMbona me naonekana jirani jaman labda juzi na jana tu ndio sijaonekana sababu we jirani ulikimbia mpaka ney alikua anakutafuta sana
Hujambomupoooooo
Kiongozi niaje humuhahaha
tupooo
haa kumbe ni leo