sleep well JjWindo limenasa. Naelekea mdogo mdogo kwa zile nyumba. Kesho tena Mungu akipenda
Jesus is my saviour and a friend
Ha ha haaa nicheke tuhamna nashindwa kuelewa zaid hapo.
kwani ana safiri?
khaaaa!!Hapo si karibu na huo mgodi...kwa nn usifungue smelter hapo mkuu????
aaahJamaan acha niwaache nilale sasa mnanifurahisha na matani yenu siku yangu imeisha vizuri nawapenda sana sana jirani yangu ice man, manga, kichwa kichafu na ivuga [emoji8][emoji8][emoji8] ney jamaan miss u
Ubarikiwe jirani yangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
jirani naona umekuja na misemo mizito kdogo.
Mdogo wangu vipiii nimecheka balaaaa ha ha haaaaaaaKha. Kumbe unapigwa sound hapa hapa.
Nilikuwa sijaona
asee bosi eeeh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sikua nikijua kama ukiwaza tu inakua ha ha haaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana jirani misemo yenu hiyo ya jana jamaan
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hio ni milango gani? Au wahenga?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]aaah! ujue jirani mimi jana nlikuwa naweka mipango na Ney na kaka ake, sasa hii ya Manga labda niltupiamo tuu. au ulishindwa kujua tunaongelea nn
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ehee endeleaa mii simoooo
Anaweza pata support ya mkuu wa nchi si unajua ndo ndoto yake ijengwe smelterkhaaaa!!
aitoe wap hiyo smelter
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ha ha haaaaaaaaa akupe jibu
Sikua nikijua kama ukiwaza tu inakua ha ha haaaa
asee bosi eeeh
ujue bhana maisha bhana ni kama bahari
ukibishana na upepo unakovuna
lazma uzameee.
[emoji23]
Mdogo wangu vipiii nimecheka balaaaa ha ha haaaaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ehee endeleaa mii simoooo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaweza pata support ya mkuu wa nchi si unajua ndo ndoto yake ijengwe smelter
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Life's too short jamaan tufurahini tu kama hivi na maisha yaendelee
Hivi kumbe kulalamikiwa ndo kuuwawa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jirani nalala ila msiniue jamaan kihivyo
Nilikuwa mapumziko ngoja niendelee na safari