Umeona eeeh ...screen ya simu imejaa povu...basi tuu screen protector inasaidiaAta me nahis aisee
Automatically utaanza kubeba ya ngu ujueNinao lakini unabeba mambo yangu tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Yale majamaa yanakaba hadi penalt. Kila nikikurushia ndoano. Wapo mimacho kodo. Leo bora hawapo. Inna naye nguvu ya soda. Keshalala. Leo utanikoma... Unatoa au hutoiiiiiii?
[emoji23] [emoji23]Mmh huku kuchat huku ...ukute mtu anachat yuko bafuni[emoji1] [emoji1] [emoji1]
germve himself
Umefurahia nini my kipenzi. Asali wangu.[emoji23] [emoji23]
Bora umekuja Ivuga alikua kashafurahi leo haupo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi nipo na my love Inna kwake nimefika siambiwi sisikii la mtu.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Piga voko mzee mimi leo sina mkuki
Mchochezi huyu ngoja ahangaike atuachie mtoto mzuriBora umekuja Ivuga alikua kashafurahi leo haupo
Kaba kwa nguvu mana mharibifu huyuNipo leo nakukaba hapa mpk penalt ya mwisho
Walaaa.mimi nimeridhika na wewe my babe. Afu njoo ndani kwangu unisaidie kuokota coins zangu zimemwagika kwa bahati mbaya mgongo unauma siwezi kuinamaBora umekuja Ivuga alikua kashafurahi leo haupo
Aisee manga kweli ndugu yangu unanipigilia misumari ya moto wazi wazi hivi?Kaba kwa nguvu mana mharibifu huyu
Aje ndani hafu utoke umfungie kwa njee ha ha haaWalaaa.mimi nimeridhika na wewe my babe. Afu njoo ndani kwangu unisaidie kuokota coins zangu zimemwagika kwa bahati mbaya mgongo unauma siwezi kuinama
Nime hide hii post shunie haez kuionaWacha weee Shunie haya maneno yapo sawa et?
Ha ha haaa kesha lala nazani cm ipo tumboniNime hide hii post shunie haez kuiona