[emoji23] [emoji23] [emoji23] na nani tena na yule binti au?Ohooo kule kuzito naona Ivuga bado anajifanya yuko yuko ma ameshapewa za uso
Sawaleo nimelala mapema mno baada yakurejea home kutoka mizunguko Sa'12:30 nikala msosi nikasali then nikajilaza usingiz ghafla sa'4:30 wife ananiamsha anataka haki yake...basii kwani nimelala tena ndo hadi ivi..ye anakoroma mie niko piruu
Na aliyeanzisha ugomvi na yule binti[emoji23] [emoji23] [emoji23] na nani tena na yule binti au?
Hongera kwa kupata chakula cha usikuleo nimelala mapema mno baada yakurejea home kutoka mizunguko Sa'12:30 nikala msosi nikasali then nikajilaza usingiz ghafla sa'4:30 wife ananiamsha anataka haki yake...basii kwani nimelala tena ndo hadi ivi..ye anakoroma mie niko piruu
Wakuu nimemtafuna mtoto Fulani bila condom nawaza kinoma hakuna usingiz wala cha nini
the great
[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] mkuu nipe moyo bhanaaPambana na hali yako mkuu
Sasa mkuu elimu ya condom umeanza kuisikia lini?[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] mkuu nipe moyo bhanaa
the great
Hafu yule jamaa sijui kafanywaje na yule bint mana dah sio poa kabisaNa aliyeanzisha ugomvi na yule binti
Ila bora tu alivoambia apotezee akakaa kimya atleast ni muelewa mana angeleta mengine makubwaHafu yule jamaa sijui kafanywaje na yule bint mana dah sio poa kabisa
Unaninanga eee?Ohooo kule kuzito naona Ivuga bado anajifanya yuko yuko na ameshapewa za uso
Kwa hilo nampongezaIla bora tu alivoambia apotezee akakaa kimya atleast ni muelewa mana angeleta mengine makubwa
Aaaa mwenyewe huyo kajazzzzzzzzz
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Hapana nilikua nakurudisha hukuUnaninanga eee?
Yule ban lazima. Ameshaharibu. Mwanaume huezi kumropokea msichana vile. Yule atakua o levelIla bora tu alivoambia apotezee akakaa kimya atleast ni muelewa mana angeleta mengine makubwa
Wewe leo mbona hulali? Umekula vumbi la kongo nini?Hapana nilikua nakurudisha huku
Labda walikua na conflict na jamaa kaja na id nyingine mana it seems binti hamjui.....navyowaza tu lakni not sureKwa hilo nampongeza
Hivii hii hutokea kwa sababu gani?
Hahaha umeambiwa acha kuongea sanaaaYule ban lazima. Ameshaharibu. Mwanaume huezi kumropokea msichana vile. Yule atakua o level