Hata ivyo hakufanya poa binti wawatu anataka kuacha kabisa humuLabda walikua na conflict na jamaa kaja na id nyingine mana it seems binti hamjui.....navyowaza tu lakni not sure
Lol.... ndani ya nyumba nimetinga[emoji23]Aaaa mwenyewe huyo kaja
We unalalaga sa ngapi muhenga ww??Wewe leo mbona hulali? Umekula vumbi la kongo nini?
Ukilala na mm naenda kulalaWe unalalaga sa ngapi muhenga ww??
Ofcoz hajafanya vzr...ila unajua apa tena mtazamo na heshima yako sio sawa na wengine.....we differHata ivyo hakufanya poa binti wawatu anataka kuacha kabisa humu
Mbona hujavaa naniliu sasa? Au usiku ventilation Muhimu?Lol.... ndani ya nyumba nimetinga[emoji23]
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Mfyuuuuu huna ata aibu me niko apaMbona hujavaa naniliu sasa? Au usiku ventilation Muhimu?
Samahani lakini
Ok twende mana naona ushaanza mistar yako kwa culture galUkilala na mm naenda kulala
Dah kaja na furaha mwwnyewe anaondoka na huzuniOfcoz hajafanya vzr...ila unajua apa tena mtazamo na heshima yako sio sawa na wengine.....we differ
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Alijua umelalaMfyuuuuu huna ata aibu me niko apa
Uzuri wako ushanifahamu mmeo.Ok twende mana naona ushaanza mistar yako kwa culture gal
[emoji23] [emoji23] uyo nae ule uzi unamhusu sijui starehe yake ni kutongoza tongoza tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] Alijua umelala
Nsamehe bebi. Huyo nimemtania tu. Si u ajua mmeo full tabasamu na mautaniMfyuuuuu huna ata aibu me niko apa
Naniii?[emoji23] [emoji23] uyo nae ule uzi unamhusu sijui starehe yake ni kutongoza tongoza tu
Itakua ndo rubudani yake huyu si bure[emoji23] [emoji23] uyo nae ule uzi unamhusu sijui starehe yake ni kutongoza tongoza tu
Upo vizuri kutupia ha ha haaaNsamehe bebi. Huyo nimemtania tu. Si u ajua mmeo full tabasamu na mautani
Lol... nimevaa mbona.... ventilation itahitajika summer time.Mbona hujavaa naniliu sasa? Au usiku ventilation Muhimu?
Samahani lakini
lol mtani wangu huyo usiwaze mremboOk twende mana naona ushaanza mistar yako kwa culture gal
Yani leo anakaba hadi mipira iliyotokalol mtani wangu huyo usiwaze mrembo
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.