Ridhwani Mbaraka
JF-Expert Member
- Jun 18, 2017
- 484
- 1,135
Kwa kweli Inna ukijizoesha hii tabia utasababisha wazee wadaiwe mahari..manake hiyo papuchi itakua haitumiki ipasavyo..Team popo jiran hukosekan duuh
NimekupezaU
N
I
T
E
D
Republic of popoz
NdioKwa hiyo wote mmelala siyo?
OohVipenzi vya baba yao.ha ha ha ha.
Hatujambo kwa ujumla.
Watoto wanakimbia sasa hivi wanaenda shule kabisa...
Byeeee nisijenuniwa na baba p buree.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na huo ndio uanaumePole na wewe mkuu mm peke yangu kwani au unatyp ukiwa ndotoni hakuna kitu kinauma Kama wapemben yako nalala alaf wewe hata dalili huna
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kumtafuta mkuuAaah wap sikumpata, alikuwa kazima cm
Usipende kulala saa mbiliUsingizi umekata toka saa tisa mpk mida hii nimejaribu kulala nimeshindwa nasoma soma post tu huku JF kukuche niwahi kibaruani.
Hayo masaa yanaingiliana vipi na usingizi?Thanks mkuu ni tabu kwa kweli hii hali imekuwa ikinitokea sana, mara baada ya kurudi toka masomoni China sasa sijui ndiyo adoption yenyewe au vp, maana China iko mbele kwa masaa matano ukilinganisha na bongo.
[emoji7] [emoji7] [emoji7][emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Jesus is my saviour and a friend
ipogolojje's,saint ivuga, ferrenga,daby, mshana, inna, billy. Naitisha roll calls.
NipoMpooooo au mmelala?
[emoji3] [emoji15]Popo mzoefu nakuona
Bora tanesco wamekulazaUmeme umekatika hapa, joto balaa. Sjui ni nini, luku...daah. naona uvivu kuamka. Nakomaa. Nje gizaaa....nasitisha na hii shughuli
An ant on the move does more than a dozing ox.
Kuwinda anopheles au?Mida ya kuwinda hii.
Hehe...nahis kama bahati inaelekea kunidondokea vile, karibu chumbani.Kuwinda anopheles au?
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Hehe...nahis kama bahati inaelekea kunidondokea vile, karibu chumbani.
Hahahahaa..usiogope wangu.[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Naam mkuu nyagei..Nipoipogolo