Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Haya banah sina neno kwako jirani, hata ungegoma kuomba msamaha kama bwana yule (mtoto pendwa) sina budi ningekusamehe tuu
Mbona alitutafuta sana bila mafanikio ndio akawa anaskia uvivu kuingia hukuHa ha haa huyo mwingine apo hakustui au unamuonaga humu?
Doria huku ni usalama tu.Vizuri kwa hilo
Kwama tu sijui pande hizo?
Mhhhh sidhani banah mbona tumewasiliana kama sio jana ni juziSizani kama ni kutuona mana tungeona japo harufu yake kapigwa pini
Usiku mwingi au mapema tu?Mhhhh sidhani banah mbona tumewasiliana kama sio jana ni juzi
Vizuri kama salamaDoria huku ni usalama tu.
Iceman mara ya mwisho kama 2 weeks ndio nikapotea jf nimerudi naona kimya.
Iceman 3D tulipishana sana maana niliwahi kuondoka.Vizuri kama salama
Hajakuachia ujumbe wowote kupotea kwake?
MchanaUsiku mwingi au mapema tu?
Mchana sawa usiku hatumpate huku labda kupita tuMchana
Kasema haji mpaka tuwepo [emoji3][emoji3]Mchana sawa usiku hatumpate huku labda kupita tu
Neybright naona kama keyboard yangu herufi hazionekani[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mchana
KabisaWengine tunaamka,
wengine usiku mnene
Wengine tunaamka,
wengine usiku mnene
Ahaa basi sawaKasema haji mpaka tuwepo [emoji3][emoji3]
KwaheriOhoooo haya sasa ngoja namii nikuacheni mpambane na hali zenu