Old - Hand
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 2,042
- 1,917
Hii ndo mida sasa mkuu popo tunatamba wakati wewe umeshalala zamaniHi ndiyo mida yenyewe Mkuu
Amsha dude ukilala unaibiwa !Hii ndo mida sasa mkuu popo tunatamba wakati wewe umeshalala zamani
sent from kuzimu
Dude limeamshwa kama la GwajimaAmsha dude ukilala unaibiwa !
Wooote hao plus na wewe mmekimbia jukwaa mapema sanaManga Ml, Ridhwan Mbaraka,Msolo,Ipogolo, Quigley, germve No Escape, Nyagei ,gentlemanx, youngblood...na popo wote geti liko wazi
Ok. Mkuu here we goDude limeamshwa kama la Gwajima
sent from kuzimu
Nimependa avatar yako mkuu hao wanyama wetu ni urithi wa asili tuliojaliwa. Na Jah
Umeshaangusha dude mkuu liamshe km vipi. ?Mapopo tupo.... tunatoboa km CNN
Sent from "La -Vista"
Nishaliamsha kitaaambo hapa.... napoza injini.... nagonga monde mdo mdo . Mbona mabundi bob mpaka chee....Umeshaangusha dude mkuu liamshe km vipi. ?
Mkuu kutoa msaada ni muhimu sana hasa ukizingatia jamaa(Ivuga) analala ovyo ovyo!......hata mimi nina mpango wa kuongeza nguvu kwenye kumsaidia pia!Usiogope Mkuu, mimi huwa nasaidia tu
Bila kumsahau Ivuga![emoji28][emoji28][emoji28]Manga Ml, Ridhwan Mbaraka,Msolo,Ipogolo, Quigley, germve No Escape, Nyagei ,gentlemanx, youngblood...na popo wote geti liko wazi
Aliekuambia kuwa kaka ni wewe tu ni nani?!![emoji41][emoji41][emoji41]Umeniita
cc:Ivuga![emoji4][emoji4][emoji4]Amsha dude ukilala unaibiwa !
Asante Inna wa king mswati ivugaTupo karibu tena