JamiiForums Usiku wa manane

Mmmmh tatizo langu mtu akiniuzi muda mfupi kabla ya kulala huwa nakosa usingizi kabisa,
Na almost kila siku muda mfupi kabla ya kulala anatokea mtu ananiudhi
Lala kabla hajatokea basi mpendwa
 
wakuu saa hii nafikiria hivi Bill Gates ana ma bodyguards?anayejua anisaidie please

Words of wisdom!!!

Madem ni kama mahindi choma,
Una toa lines zako mbili upatie mwingine.
atakayebaki na gunzi shauri yake
 
@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…