mswahili93
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 210
- 115
Ni kweli ni mida ya wachache wasio na vurugu
- Mida yetu
Hakuna kulala.Mtoto wa jirani analia mpk nimeamka sijui napataje tena usingizi masikini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa wanaupiga si pole poleNamuona maserati, inna, Dabby
Shemelaaaaa jana sikuweza kuja shemela.Saint Ivuga shemela shemela shemelaaaaaa
Aisee....hiki nacho ni kibarua cha usiku!