Mi nipo hapa, wengine wamepotea
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Inna imeshapakwa yoteeeee haaaahaaaa imeisha
Nimekukubali we kimtu khaaInna popote ulipo ukiamka utaiona hii then angalia muda, 03:30
Sent from Kingston Jamaica
Nilipiga mzigo mpaka App ikawainajifunga automatically, nikaingia kwenye setting na kuclear data ndio nimerudi hapa.Nimekukubali we kimtu khaa
Hahaha we nomaaarNilipiga mzigo mpaka App ikawainajifunga automatically, nikaingia kwenye setting na kuclear data ndio nimerudi hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa nazungusha pande mbili huku na kule kwa likes!Hahaha we nomaaar
Mkuu usingizi umegoma. Kuna jiran yangu. chumba cha jirani anapiga mechi kwahiyo ni tabu tupu
Join them[emoji23] [emoji23]Mkuu usingizi umegoma. Kuna jiran yangu. chumba cha jirani anapiga mechi kwahiyo ni tabu tupu
Teh teh tehJoin them[emoji23] [emoji23]
Hii ndiyo mida mkuu. Karibu mkuu
Teh..Teh teh teh
Unitakii mema mkuu