Umeamka saa saba leo dearHuku viiipi
Khe! Na wewe umekuwa popo? Kulikoni?Huku viiipi
Nipo leo nawangaUmeamka saa saba leo dear
HahahaKhe! Na wewe umekuwa popo? Kulikoni?
Ha ha ha ha haKhe! Na wewe umekuwa popo? Kulikoni?
Nipo leo nawanga
Hahaha
Mara nyingiii mnoo mieee popo
Mnayaweza. Mie jana na leo.Hahaha
Mara nyingiii mnoo mieee popo
Karibu tuwange
Umefurahi nini kikubwa hivyo jamanii
Kwa ni kwa jema hamna shiida... Ni mwendo wa kupopoka.... Ila kama ni kwa changamotoo za duniani pole mamyMnayaweza. Mie jana na leo.
Hapa ni kama vile saa moja jioni nahisi sitalala
Mhh mi nalala....nyie wangeni peke yenuKaribu tuwange
Kwa mema tu mydear, hakuna changamoto zozoteKwa ni kwa jema hamna shiida... Ni mwendo wa kupopoka.... Ila kama ni kwa changamotoo za duniani pole mamy
Haya ngoja tuwalinde mliolalaMhh mi nalala....nyie wangeni peke yenu
Mungu ni mwaminifu, tuzidi kuombeana kila lililo jema mpenziKwa mema tu mydear, hakuna changamoto zozote
Leo namsaidia Mshana ujue
Amen nashukuru.Mungu ni mwaminifu, tuzidi kuombeana kila lililo jema mpenzi
HahahaHaya ngoja tuwalinde mliolala