Labda kama ni mwanafunzi. Lakini km ni askari wa kawaida simu anakuwa nayoHahaha
Uwe na simu kwenye adhabu, aisee wanadekezwa bhasi
Hapa kaz tuHahaha
Uwe na simu kwenye adhabu, aisee wanadekezwa bhasi
Ni unatekeleza wajibu sio shiida
Majukum yakifamiliaHuruma ya nini... We kwa nini umechelewa doria
Kama amelala na wewe lala
Mingo- morogoro
Simu ruksaLabda kama ni mwanafunzi. Lakini km ni askari wa kawaida simu anakuwa nayo
Basi wao wamelegezewa aiseeLabda kama ni mwanafunzi. Lakini km ni askari wa kawaida simu anakuwa nayo
Umeonaee
Hahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daaah wachiwi sio watu,wamenibinya hadi imebidi nizuge na simu maaana nikifunga macho watarudi tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujalala tuu na wewe
Wilaya ya mvomero
Kazi napenda lakin. .......Hahaha
Hichoo ni kisingizio cha chekechea...