Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
[emoji23]Hahahaa kuku
Sawa mkuuNi kweli mkuu, ngoja nipige moyo konde safari ya maisha isonge mbelee
Nashukuru kwa kuelewa! Mungu akutie nguvu uweze kusonga mbele!Asantee mkuu, nimeanza kupata nguvu yakuamka upya na kuanza safari upya.
Nilichojifunza nadhan hakitajirudia kama kosaa tenaa
Popo & bundiMapopo timez
Combination hatariii"kwema lakini mkuuPopo & bundi
Hiyo sauti yako tuu mie hoiii [emoji3], we endelea kujificha uvunguni mie sina neno kikubwa tuongee kwa umbali huo huoHatupo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Waguma
Ney, unafuata nini huku? Huku ni kwa vilaza hakuna bright! Tuachieni wenyewe!Hiyo sauti yako tuu mie hoiii [emoji3], we endelea kujificha uvunguni mie sina neno kikubwa tuongee kwa umbali huo huo
Usinifanyie hivyo ndugu yangu kizuri kula na wenzio, humu ndani leo kuna upako wa hatari, huoni kuingia tuu nimekutana na neno thabiti kabisa kutoka kwa mamamtumishi Inna, kiukweli nimefarijika sanaNey, unafuata nini huku? Huku ni kwa vilaza hakuna bright! Tuachieni wenyewe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana
Hoooh! Kuwa mwangalifu, Inna amebeba kitabu kitakatifu mkono wa kushoto na kulia kabeba fursa. Yupo kama yule Livingstone alivyotufanyia.Usinifanyie hivyo ndugu yangu kizuri kula na wenzio, humu ndani leo kuna upako wa hatari, huoni kuingia tuu nimekutana na neno thabiti kabisa kutoka kwa mamamtumishi Inna, kiukweli nimefarijika sana
Salama kabisa za ulipotoka?
Lakini mimi nimebeba neno tuu kwa maana ndio chakula na uzima, yatupasa kuishi katika neno ili ya dunia yasituyumbishe.Hoooh! Kuwa mwangalifu, Inna amebeba kitabu kitakatifu mkono wa kushoto na kulia kabeba fursa. Yupo kama yule Livingstone alivyotufanyia.
Sent using Jamii Forums mobile app