Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Wanaita fahari ya macho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Team bundi team popo sema hawana stadium tuTeam popo
Sawa kabisa, ila ujirekebishe tusije umia wote siunajua ninavyokuthamini jirani yangu?Jirani kuhama mtaa mbona nitaumwa kwa kukosa uwepo wako.
BundiInabaki tuwaite popo au bundi.
Poa, nilikuwa namalizia project write up, ngoja sasa nigeukie ma usiku.Ndio best
naelewa vizuri nitajitahidi nisikuagushe jirani.Sawa kabisa, ila ujirekebishe tusije umia wote siunajua ninavyokuthamini jirani yangu?
Kuwa makini tu jirani.Jamani wapendwa naomba niwakimbie, mbaki salama [emoji125][emoji125]
Jirani leo ninaharaka sana sihitaji kusindikizwa
Kuwa makini tu jirani.Jamani wapendwa naomba niwakimbie, mbaki salama [emoji125][emoji125]
Jirani leo ninaharaka sana sihitaji kusindikizwa
Unaelekea wapi unakimbia lindome napita tu
ngoja nikambonji tu hamna namnaUnaelekea wapi unakimbia lindo
PoaKweli kila mtu anaishi kama anavotaka me nalala naona usingiz umenikamata,
Usiku mwema mamyJamani wapendwa naomba niwakimbie, mbaki salama [emoji125][emoji125]
Jirani leo ninaharaka sana sihitaji kusindikizwa
Wameingia na baiskeli nini...?Niko geita nimeingia night club jaman wasukuma ni washamba sijapataona, kitu kilicho mbele ya macho yangu Mungu ndo anajua!
Asiye na fimbonani atapigwa leo?