Ha ha haaaa aje aone hapo nazani atafurahia mafundisho
Weee........sidanganyiki ng'oo!Hahaha kabisa mkuu, facilities zote za kufundishia na kujifunza ninazo mpaka bakora isiyo na maumivu[emoji85] [emoji40] [emoji125]
Mkuu za masikuInna, upo bibie? Nilikumisi sana mshikaji wangu.
Mapopo wote.
Kumbe wee bado mtoto?Weee........sidanganyiki ng'oo!
Hata ningekusalimia usiniitikia......mbona Nleterewa Nganengo alikuwa ananichunia kila nikimsalimia?Kwani wewe ulikua unasalimia ungesema alikuvutia tu ungesomeka sio uzunguke ha ha haa
Mbona mimi hatujakutana?
Hahahah! Vipi umeniona na kadi ya kliniki?Kumbe wee bado mtoto?
Salam siwezi chuna bhanaa labda mengine ha ha haaaHata ningekusalimia usiniitikia......mbona Nleterewa Nganengo alikuwa ananichunia kila nikimsalimia?
Tafadhali usinichonganishe na shost yangu Neybright................
Mama mtoto ndo anakua na kadi kliniki.Hahahah! Vipi umeniona na kadi ya kliniki?
Zikuludie mwenyewe mkuu wee wahi tu.Salamuni wakuu
Napita nawahi kikao Sumbawanga
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Huwezi chuna? Nyie masupasta wa JF mna maana basi,hamsalimiani na mtu asiye na file lililoshiba ati......Salam siwezi chuna bhanaa labda mengine ha ha haaa
Umelaza dam shost yako ka kuwahi ha ha haaa Thad
Nzuri kiasi. Mapambano ya dunia.Mkuu za masiku
Embu twende taratibu...mnaniambiaje bakora isiyoumiza wakati shogaangu Kibibi, kila akienda kuchapwa hiyo bakora na Chaupele huwa namsikia akilia?Mama mtoto ndo anakua na kadi kliniki.
Mii nnavo jua mtoto ndo anadanganywa
Supa staa sijawai kula hata ban moja napataje huo usupa?Huwezi chuna? Nyie masupasta wa JF mna maana basi,hamsalimiani na mtu asiye na file lililoshiba ati......
Kweli kiongozi pamoja sana karibu mara ingineNzuri kiasi. Mapambano ya dunia.
Au acha nikupitie na wewe mkuu hapo Kongwa. Saa hii nipo Kiomboi hapa natokea Simiyu dakika 7 zilizopitaZikuludie mwenyewe mkuu wee wahi tu.
Wenyewe wanaita usiku wa manane eti............waswahili bwana, kwanini hawakuita usiku wa kati?Kama kawaida mid night's
Ha ha ha haaa ushawahi kumuuliza kilio chake ukajua kama ni cha maumivu au utam au hujui kua furaha yaweza leta kilio?Embu twende taratibu...mnaniambiaje bakora isiyoumiza wakati shogaangu Kibibi, kila akienda kuchapwa hiyo bakora na Chaupele huwa namsikia akilia?