Kweli eeh.....ngoja siku Kibibi na Chaupele wakijifungia ndani nitapiga chabo nione kama kweli analia kwa utamu au kwa uchunguPole sanaaaa wancheka kupitiliza ndo kilio maumivu hayafwati et wafunzi wanalalaga wenyewe ili wachapwe
Aisee ndugu yangu si uje tu huko uliko mana si kwa kupetiwa huku sipati picha ukimuona tu utakavyo anza kuuma vidole na kujikanyaga tuHalleluyah
I pray for him always [emoji4]
Ukiniletea iceman hapa nitakupenda kama zamani tofauti na hapo mhhhh siwezi hata kukuamini tenaUvyocheka kama unamini hivi mbona kama umenichukia ney siku hizi
Lakini amekucheka mana siwezagi uchuna mimiAfadhali shogangu hujachonganishika....
Asante kwa kuniamini bestSiwezi shogaangu nakuamini ujue [emoji6]
Aisee mii alipotea alivyokuja kwako wewe ndo utuambie yupo wapi mii aliniaga anakuja kwakoUkiniletea iceman hapa nitakupenda kama zamani tofauti na hapo mhhhh siwezi hata kukuamini tena
That's how the love working. Siunakumbuka alivyokuwa akinikosea kama hayupo nasema yote mbele yenu na akirudi nikimuona tuu mie hoiii sitaki hata anipe sababu, ah aha ahahaaaaaa love doesn't ask why? [emoji4][emoji4][emoji4]Aisee ndugu yangu si uje tu huko uliko mana si kwa kupetiwa huku sipati picha ukimuona tu utakavyo anza kuuma vidole na kujikanyaga tu
Utaona giza tu watakiwa uzionje mwenyewe hizo fimbo ndo utajua ukweli.Kweli eeh.....ngoja siku Kibibi na Chaupele wakijifungia ndani nitapiga chabo nione kama kweli analia kwa utamu au kwa uchungu
Yaani bado unatamani kutuchonganisha tu.....Lakini amekucheka mana siwezagi uchuna mimi
Nakubaliana na wewe na kuchukiwa pia hakuna sababu nazaniThat's how the love working. Siunakumbuka alivyokuwa akinikosea kama hayupo nasema yote mbele yenu na akirudi nikimuona tuu mie hoiii sitaki hata anipe sababu, ah aha ahahaaaaaa love doesn't ask why? [emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakubaliana na wewe na kuchukiwa pia hakuna sababu nazani
Na anzaje sasa hapo umeelewaje kwani alivo chekaYaani bado unatamani kutuchonganisha tu.....
Nimeona nia yakeYaani bado unatamani kutuchonganisha tu.....
Aaaah kumbe! Basi mwambie Nleterewa Nganengo kuwa nimekubali offer yake ya twisheniUtaona giza tu watakiwa uzionje mwenyewe hizo fimbo ndo utajua ukweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aaaah kumbe! Basi mwambie Nleterewa Nganengo kuwa nimekubali offer yake ya twisheni
Amekucheka wewe,umeshindwa kutuchonganisha.......Na anzaje sasa hapo umeelewaje kwani alivo cheka
Aisee [emoji1] [emoji1] [emoji1]Nimeona nia yake
EwaaahAmekucheka wewe,umeshindwa kutuchonganisha.......
Sawa jiandae tu nikimpata na wewe uwe tayarAaaah kumbe! Basi mwambie Nleterewa Nganengo kuwa nimekubali offer yake ya twisheni