Haswaa , naanzaje kugombana na wewe jaman?Nimwelewa vyema mshiki kuwa na amani, ila siku izi hata salamu tu imekua shida, ujue ndugu hawagombanagi, wanapishanishaga kauli tu[emoji40]
MIMI niko salama kabisa, ila tu sijui lini utakuja na shemeji kunisalimia, vipi saivi katulia au bado macho hayapata pazia[emoji40] [emoji125]Tuko salama sana cjui nyie
Eti nilikuwa nauliza hivi, eti kwanini Kichwa Kichafu akija wewe haupo na akiondoka wewe ndo unakuja kwani mnapeana shift ya kuja hapa mwingine anabaki na nyumba?Tuko salama sana cjui nyie
Hahaha hivi shift kwa kiswahili ni nini?Mbona mi nilishawaimbia tangu mwanzo ule wimbo wa 20% unaosema 'nakaa pembeni kuepusha msongamano'
Basi tu nyie mmeamua kuniandama,ila mimi sinaga shida kabisa na mtu bali shida yangu ni balimi na viroba kwa sasa na bombadia [emoji39] [emoji39]
Hii lugha ndio iliyonisababishia kesi ya kuwa na mwalimu spesheli [emoji2] [emoji2]Lanye mlae sekoni[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji24] [emoji24]Lanye mlae sekoni[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Ni kinyume cha neno liftHahaha hivi shift kwa kiswahili ni nini?
Mmmh sio Msamaria kakutuma kweli, hebu angalia jina la mtumaji vizuri[emoji125]Eti nilikuwa nauliza hivi, eti kwanini Kichwa Kichafu akija wewe haupo na akiondoka wewe ndo unakuja kwani mnapeana shift ya kuja hapa mwingine anabaki na nyumba?
(Sio mimi ni Nleterewa Nganengo ndo kanituma niulize )
Hahaha walimu mbona wapo tu, tena ada wala sio pesa Kauli tu yatosha[emoji39]Hii lugha ndio iliyonisababishia kesi ya kuwa na mwalimu spesheli [emoji2] [emoji2]
Samaritan hawezi kuwa mchochezi mbobezi kiasi hiki,wewe ndo umenituma [emoji4] [emoji4]Mmmh sio Msamaria kakutuma kweli, hebu angalia jina la mtumaji vizuri[emoji125]
Ohooh, hapa itabidi nipate mwalimu wa hii lugha, bado naona tongotongo lipo[emoji125]Ni kinyume cha neno lift
Vya bure aghali.....bure lakini niliambiwa nitacharazwa mboko [emoji18] [emoji18]Hahaha walimu mbona wapo tu, tena ada wala sio pesa Kauli tu yatosha[emoji39]
Mwombe Neybright akufundishe....jirani yako ni mwema atakufundisha bila hiyanaOhooh, hapa itabidi nipate mwalimu wa hii lugha, bado naona tongotongo lipo[emoji125]
Hahaha umesahau alivyochochea kwa yule mliyekua mkigombania kua ubavuwe, ikabidi wewe u surrender all kasoro viroba, bombadia na balimi?Samaritan hawezi kuwa mchochezi mbobezi kiasi hiki,wewe ndo umenituma [emoji4] [emoji4]
Utakuwa umemfundisha wewe huo uchochezi....maana wasamaria wema hawanaga mambo hayo ya uchocheziHahaha umesahau alivyochochea kwa yule mliyekua mkigombania kua ubavuwe, ikabidi wewe u surrender all kasoro viroba, bombadia na balimi?
Hakika ni mchochezi tukuka[emoji40]
Kumbee Neybright jirani mwema wa dunia heshima kwako.Mwombe Neybright akufundishe....jirani yako ni mwema atakufundisha bila hiyana
Hahaha mara hii ushasahau huyu ni mfilisti aliyejivika ngozi ya Usamaria[emoji125]Utakuwa umemfundisha wewe huo uchochezi....maana wasamaria wema hawanaga mambo hayo ya uchochezi
Hanaga shida,kashone sare kwaajili ya kuanza darasa kesho[emoji2] [emoji2]Kumbee Neybright jirani mwema wa dunia heshima kwako.
Leo naona unapita kimya kimya tu[emoji40]
Natumaini assist ya Thad juu ya ombi la kuwa mwanafuzi wako umeliona. Ntafurahi sana nikipata jibu rembo na la kuvutia.
Thanks in University level (nimejaribu)[emoji120]