Huku gomz yaani ni kelele za vyura usiku kucha utafikiri vyura wapo kwenye kigodoro[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yeah! Mvua imekata japo imetuachia mabwawa yaliyojaa vyura, naona wanamashindano ya kupiga kelele hapa
Achana na hizo habari za kufahamiana,
Ahahahaaaaaa hamna cha pm wala nini, ni mwendo wa public tuu
Hii kauli inaanza kupotea mitaani.Ulipooooo, tupoooo!
Wanataka kutunyima uhondo hao [emoji40] [emoji40]Hapo sawa, mkishajifungia huko PM mnatunyanyapaa
Yeah! Mvua imekata japo imetuachia mabwawa yaliyojaa vyura, naona wanamashindano ya kupiga kelele hapa
Wanataka kutunyima uhondo hao [emoji40] [emoji40]
Hii kauli inaanza kupotea mitaani.
Kweli siku zinakimbia mno[emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani ni shida! Nimekaa nikafikiria hivi wahenga walivyosema kelele za chura hazimkatazi tembo kunywa maji walitafakari sawasawa kweli? Mbona mimi zinaninyima usingizi [emoji18] [emoji18]Huku gomz yaani ni kelele za vyura usiku kucha utafikiri vyura wapo kwenye kigodoro[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwalimu wako nadhani kakumbwa na mafurikoHii kauli inaanza kupotea mitaani.
Kweli siku zinakimbia mno[emoji2] [emoji2]
Aku! usije ukaniteka bure......mtu mwenyewe hujulikani [emoji12] [emoji12]Au nasie twende PM? Hahahahaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani ni shida! Nimekaa nikafikiria hivi wahenga walivyosema kelele za chura hazimkatazi tembo kunywa maji walitafakari sawasawa kweli? Mbona mimi zinaninyima usingizi [emoji18] [emoji18]
Subiria kibali cha mikutano kitolewe utasikia kauli mpya hadi ushangae
Aku! usije ukaniteka bure......mtu mwenyewe hujulikani [emoji12] [emoji12]
Niko lindoni
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Wanataka kutunyima uhondo hao [emoji40] [emoji40]