Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Njoo kwanza kuna kitu nataka kukupaGuys love you all, naomba niwakimbie [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kesheni salama
Mi huwa sielewi kwa kweli,utafikiri vyura wanakaa standby kusubiria mvua ... ikinyesha tu hao. Wataalamu watusaidie kuhusu hili. Mbona maji hata yakituama mwezi hatuwaoni samaki.[emoji23] [emoji23]Kwani haya maji hayaleti samaki? Hawa vyura wanatoka wapi ghafla? Mvua ya siku moja tu wanasumbua mtaa mzima
Mmoja mwaminifu! [emoji12] [emoji12]Una wapenzi wangapi?
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Njoo kwanza kuna kitu nataka kukupa
Wewe jamaa tunaishi mtaa mmoja nini?Mi huwa sielewi kwa kweli,utafikiri vyura wanakaa standby kusubiria mvua ... ikinyesha tu hao. Wataalamu watusaidie kuhusu hili. Mbona maji hata yakituama mwezi hatuwaoni samaki.[emoji23] [emoji23]
Pengine tu majirani tusiojuana [emoji4] [emoji4]Wewe jamaa tunaishi mtaa mmoja nini?
Hawa vyura jua lilikuwa linawaka wapo kimyaa. Na hakuna mto karibu.
Mvua ikinyesha maji yakijikusanya kidogo mavyura kama elfu saba utayasikia yanalia.
Mimi mwanzoni nilijua sio vyura lazima kuna namna.
Siku ukiona nisan nyeupe usije ukadhani kuwa ni bashite.Pengine tu majirani tusiojuana [emoji4] [emoji4]
Kwa kweli wanashangaza na kukera mno!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbe ndo wewe mwenye nisan nyeupe hapo nyumba ya pili,nishakujua [emoji12] [emoji12]Siku ukiona nisan nyeupe usije ukadhani kuwa ni bashite.
Ujue ndio mimi huyo.
Huyu bibie mbona hajanitafuta? Kuna kitu nataka kumpa.
Oya nakutania bwana.[emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbe ndo wewe mwenye nisan nyeupe hapo nyumba ya pili,nishakujua [emoji12] [emoji12]
Vp nikuitie utanilipa, baada ya kupeana hicho unachotaka kumpa?
Vyura hulia usiku "croaking" kwasababuMi huwa sielewi kwa kweli,utafikiri vyura wanakaa standby kusubiria mvua ... ikinyesha tu hao. Wataalamu watusaidie kuhusu hili. Mbona maji hata yakituama mwezi hatuwaoni samaki.[emoji23] [emoji23]
Alaa kumbe furaha yao ndo wanatupa sisi kero? Ngoja kesho nikawanunulie lita 5 za mafuta ya taa niwamwagie nione watatongozeana wapi! [emoji57] [emoji57]Vyura hulia usiku "croaking" kwasababu
1: Kuvutia female frogs, madume hu croak na majike husikilizia kuchagua yupi ni suitable mate (sauti zinatofautiana kwahiyo jike huweza kujua mlio wa kijivulana na mlio wa dume la kazi)
2: Ku claim territory, chura dume hutoa huo mngurumo kuashiria eneo fulani tayari kuna mmiliki na usijaribu kusogea.
Na mimi pia bado nawasindikiza 02:26Bado nipo nawasindikiza 02:22
Mkumbatie mkuu,kwa baridi hili atakupa tu [emoji85] [emoji85]Baridi hii halafu unanyimwa usingizi hauji
Nahisi kaubaridi nako kanachangia [emoji23] [emoji23]Alaa kumbe furaha yao ndo wanatupa sisi kero? Ngoja kesho nikawanunulie lita 5 za mafuta ya taa niwamwagie nione watatongozeana wapi! [emoji57] [emoji57]
Wakati wa jua wanakuwaga wapi? Mbona mvua ikinyesha tu ndo wanaibuka?
Kweli baridi halijawahi kuacha usalama kama vyura pia husubiri kutongozana wakati wa baridi...[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nahisi kaubaridi nako kanachangia [emoji23] [emoji23]
Msisahau kufunga geti,mi naondoka zangu nichoka kusindikizwa kimya kimya![emoji4] [emoji4]Bado nipo nawasindikiza 02:22
Na mimi pia bado nawasindikiza 02:26