Aisee am so very dessparete (sijui nimepatia? Enewei) naona uvivu kuchangia humu jfWaoooh thank you dearest.
Mbona siku hizi huonekani kipande hiki?
Ooh. Sawa sawa mama jose nimekupata mubashara kabisa.Hapana Dear, maana ukisema ulike kabla ya muda unaufanya uzi unakuwa busy, lazima uingie kuchungulia hivyo vi notification.
Nadhani ni vzr kuvumilia tuu
Nipo mkuu, japo naona bawaba za macho zinaleta mushkeli kidogoNleterewa
Dark angek
Manga Ml
Hawa popz wako wapii
Mimi nipo hapa Dear, karibu sana. Umetokea wapi tena huko maana nakuona unahemea juu juu. Kwema huko?muda wetu huu sasa Neybright njoo mpenzi
Babe sina ila siwataki sema tu huwa naona wivu watu wakibebishana sijui nilirogwa?[emoji12] [emoji12] Kichwa Kichafu alitaka kuwa mwalimu wangu tu,ana mtu wake.Best yako yupo hahah
Usitufanyie hivyo lakini....kwani wewe hauna Babe wa kukubebisha?? Kichwa kichafu mliishia nae wapi
MKuzi upo nchi gan ww mkuumuda wetu huu sasa Neybright njoo mpenzi
Thad unataka nikuweke kiporo tena?Asante...... nilikosa mtu wa kunisapoti kuuliza hili swali [emoji4] [emoji4]
Nipo mkuu, japo naona bawaba za macho zinaleta mushkeli kidogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haupo kivipi? Wewe si ndo ulinambia kuwa jirani yako wa pluto mashariki amepata blanket chapa mtu hivyo hawezi kutoka na mvua zile?
[emoji3] [emoji3][emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo ndo ninapokupendea unajuaga vitu roho yangu inapenda....wacha nitoroke hapa icu nije kuanza na hizo bombadia....[emoji12] [emoji12]
Kwanini huwataki sasa? halafu iweje uone wivu watu wakibebishanaBabe sina ila siwataki sema tu huwa naona wivu watu wakibebishana sijui nilirogwa?[emoji12] [emoji12] Kichwa Kichafu alitaka kuwa mwalimu wangu tu,ana mtu wake.
Ahahahaaaaaa huo sasa wivu, embu msalimie shemeji yako kwanza. Na shemeji aheshimiwe na watu wote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha nitaeleza nilipokua ila kwanza ungeniambia lini paap umekua "BABY"?[emoji85]
Kweli KK sio mtu mzuri, yaani ile ofa ya pindua pindua ameiaply kwa jirani yake maskini I 3 D [emoji18] [emoji18][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unaona unavyowaandama mpaka wanatamani ukufwe[emoji24]
Kweli jirani wa dunia kapatwa.
Nasikia za chini chini hunter kamsadia hunter mwenzake kumnasa jirani[emoji40] [emoji125]
Ahsante Bundi mcute, saivi kidogo afadhali na Leo nimejaribu kutesti afya na balimi 7 naona Niko fitiOoooh! Pole sana, kumbe u mgonjwa?
AhahahaaaaaaAsante...... nilikosa mtu wa kunisapoti kuuliza hili swali [emoji4] [emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo ndo ninapokupendea unajuaga vitu roho yangu inapenda....wacha nitoroke hapa icu nije kuanza na hizo bombadia....[emoji12] [emoji12]
Ongezea na bombadia 3, bili juu yangu! [emoji23] [emoji23]Ahsante Bundi mcute, saivi kidogo afadhali na Leo nimejaribu kutesti afya na balimi 7 naona Niko fiti
Ahsante Agash, saivi kidogo afadhali, hata Savanna kadhaa zinaweza kupita kinywani[emoji123]Ooogh. Baba kayaiii unaumwa.!! Polee,nini mbaya?? Jomoniii