JamiiForums Usiku wa manane

Hahaha kumbe mkuu na wewe ni Jogoo wa Jiji, kuna kimtetea humu ati kilikua kinatamani tuvunjike mguu tubaki bandani, tusiende kwa jirani kuwinda[emoji40] [emoji125]
Leo kuna mwenzenu kanikumbusha machungu ya timu yangu nikaumia sana, ndio maana nilitamani sana mfungwe ili kesho twende wote sawa...[emoji2] [emoji2]
 
Najua ila yeye na mimi hatupikiki ndani ya chungu kimoja tukaiva ndio maana amegoma kabisa kunifundisha kubet.[emoji12] [emoji12]
Kagoma wapi, hakunaga mkate mgumu mbele ya chai, tatizo lako unatumia kauli ya kanda maalumu kuomba darasa, hebu jaribu kutumia kauli za waja leo warudi maiti uone atakavyolainika kama mlenda wa bamia[emoji6]
 
Kagoma wapi, hakunaga mkate mgumu mbele ya chai, tatizo lako unatumia kauli ya kanda maalumu kuomba darasa, hebu jaribu kutumia kauli za waja leo warudi maiti uone atakavyolainika kama mlenda wa bamia[emoji6]
Tangu lini jasiri akaacha asili? Hizo ndo kauli zilizonilea hivyo siwezi kuziacha mura!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] eti waja leo warudi maiti! Siku hizi wanasema waja leo kurudi majaaliwa!
 
Leo kuna mwenzenu kanikumbusha machungu ya timu yangu nikaumia sana, ndio maana nilitamani sana mfungwe ili kesho twende wote sawa...[emoji2] [emoji2]
Hahaha wewe utakua ni mshabiki wa ile timu yenye Bakayoko
Pambana na machungu yako kwakweli usiguse furaha zetu tafadhali[emoji39]
 
Tangu lini jasiri akaacha asili? Hizo ndo kauli zilizonilea hivyo siwezi kuziacha mura!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] eti waja leo warudi maiti! Siku hizi wanasema waja leo kurudi majaaliwa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Utakosa vingi kwakweli ukiendeleza huo ujasiri wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…