[emoji15] [emoji15] [emoji15] Eeeeh! Hebu kwanza.....kwani Inna ndo wifi yako kwa Stunter au?Wala hakuna kitu kibaya Inna rafiki yangu, huwa KK ananifundishaga michezo fulani wakati mzee yuko bize, na michezo yenyewe haina madhara.
Unajua huyu Thad ana sababu zake tu wala usimsikilize
na kikazi nafanya hapa shem, ndio manaUnaenda wapi? Shem acha hizo
Hahahaha mbona sura inakataa kabisa, nimegundua hii ni ile style ya kumzuia jirani asiombe dawa ya jiko[emoji12]Kioo hakidanganyi....ukishajiangalia unitag nijue jibu la salamuuliyopewa
Hongera sana Dr. Shika,nasikia umefanikiwa kujidhamini [emoji12] [emoji12][emoji15] [emoji15] [emoji15]
Nilikua nashughulikia dhamana ya Dr mwenzangu ujue[emoji6]
Salama..upo?salama humu wanajamvi!! nawasabahi tu napita adoado..!![emoji124] [emoji124]
Kazi ya usiku......hongera sana [emoji4] [emoji4] [emoji4]na kikazi nafanya hapa shem, ndio mana
Karibu komredi, usipite tafadhali kuna warembo wengi humu wanahitaji ulinzi wako getinisalama humu wanajamvi!! nawasabahi tu napita adoado..!![emoji124] [emoji124]
Sawa kijanaaa au nakuzibia rizik nn humu ndan za watoto wazurUjue tokea nipake piko nimekua kijana kabisa, usinizeeshe bhana[emoji39]
hahaha!! ushafika mbali wewe sasa kwani usiku huwez fanya kazi zile usizoweza fanya mchanaKazi ya usiku......hongera sana [emoji4] [emoji4] [emoji4]
nipoo, binti unapotea sana, au ushapata noah wewe[emoji6]Salama..upo?
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Washangaa nini wakati,wewe ndo ulinipa habari zao? [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Kwa kweli nimebobea kwenye utabibu wa macho,dr. Shika alikuwa classmate wangu kule UrusiDuuuh si kwa ushauri huu
Hiyo degree ya udoctorate umeichukulia cjui wapi[emoji12]
Usije nipofushia kaka angu
Nimeona speed zako, baada ya kuona wivu umeona uje uniharibie kabisaBora tukose wote [emoji126] [emoji126]
hilo jukumu nakuachia wewe kamandaKaribu komredi, usipite tafadhali kuna warembo wengi humu wanahitaji ulinzi wako getini
[emoji3] [emoji3] [emoji3] nipo niitolelee wap..sa nyingine kazi za usiku[emoji6] [emoji6]nipoo, binti unapotea sana, au ushapata noah wewe[emoji6]
Hahaha huyu nilikua namwona sana mirembe kipindi kile niko boarding[emoji40]Duuuh si kwa ushauri huu
Hiyo degree ya udoctorate umeichukulia cjui wapi[emoji12]
Usije nipofushia kaka angu
Nimekuelewa shemna kikazi nafanya hapa shem, ndio mana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Naona unakimbia kivuli chako [emoji12] [emoji12]Hahahaha mbona sura inakataa kabisa, nimegundua hii ni ile style ya kumzuia jirani asiombe dawa ya jiko[emoji12]
Kazi ni kazi mkuuKazi ya usiku......hongera sana [emoji4] [emoji4] [emoji4]