Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,316
[emoji3] [emoji3][emoji23] [emoji23] [emoji23] ina maana nimekuwa mchochezi kukuzidi wewe mwl.wangu?
Kk atakuwa sio mwl.mzuri,anamharibu badala ya kumjenga [emoji40] [emoji40]Hahahaha mshiki huu uchochezi wako unakua kwa kasi sana ujue[emoji40] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwakweli balimi hazina tabia ya kusahaulisha mtu,huyo atakuwa amekunywa mbege...[emoji4] [emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Utakuwa umenifananisha...sio mimi kabisa.[emoji12] [emoji12]
Hahaha wala usiogope huyu Mwl uliyepata ni msiri kuliko kawaida, huoni ninavyomfichia mengi mshiki wangu[emoji40] [emoji125]Ooohooo! Mwl.wangu tafadhali nifichie hii aibu [emoji4] [emoji4]
Bahati yako sijuagi kuchora kabisa,ila hata ningejua nisingefanya hivyo,maana bado nina mengi ya kujifunza kutoka kwako....hasa ubobezi wa kuandaa hizi tiba mbadala za kuchanganya bobadia na piriton,supu ya ulimi wa mamba n.k[emoji3] [emoji3]
Mimi hata robo sikufikii, tena naona utakua unanichora sana nikiwa nakufundisha, na vile nina shati moja na kasuruali kamoja sijui itakuweje[emoji6]
Hahaha niliwahi kukuota sema nilichokiota nikaogopa kukwambia[emoji85]Naomba uniote mamy, ili nami nionje ladha ya kuotwa....maana sijawahi isikia tangu nizaliwe [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23]Itabidi tuandae kikao cha dharura kwaajili ya kujibu mashambulizi [emoji12] [emoji12]
Kwakweli,unamfichia hata visivyofichika....kama issue ya BMW, sijaamini kabisaHahaha wala usiogope huyu Mwl uliyepata ni msiri kuliko kawaida, huoni ninavyomfichia mengi mshiki wangu[emoji40] [emoji125]
Kwakweli alafu naona kuna kitu kimemnogea, anasahau mimi ni msacha wake[emoji40] [emoji125]Kk atakuwa sio mwl.mzuri,anamharibu badala ya kumjenga [emoji40] [emoji40]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] bilashaka uliniota nimerest zangu in peaceHahaha niliwahi kukuota sema nilichokiota nikaogopa kukwambia[emoji85]
Wala usijisumbue kutega kinasa sauti,maana kikao hicho cha siri nitakuwa nikirusha mubashara hapa kutoka huko sirini[emoji23] [emoji23]
Hicho kikao lazima nitege kinasa sauti, masikio hayatokaa yazidi kichwa[emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Bahati yako sijuagi kuchora kabisa,ila hata ningejua nisingefanya hivyo,maana bado nina mengi ya kujifunza kutoka kwako....hasa ubobezi wa kuandaa hizi tiba mbadala za kuchanganya bobadia na piriton,supu ya ulimi wa mamba n.k
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wala usijisumbue kutega kinasa sauti,maana kikao hicho cha siri nitakuwa nikirusha mubashara hapa kutoka huko sirini
Wacha nilale nisubiri kuotwa na mshiki wako,kesho ntakupa mrejesho wa utamu wa kuotwa [emoji12] [emoji12][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweli we kiboko hiyo sasa itakua ni semina[emoji6]
Hahaha usifunge mlango tafadhali kuna vitabu vya pre - learning nataka nikuletee,[emoji40]Wacha nilale nisubiri kuotwa na mshiki wako,kesho ntakupa mrejesho wa utamu wa kuotwa [emoji12] [emoji12]