JamiiForums Usiku wa manane

Kuna tetesi hapa nimepata kwenye group kwamba namna pekee ya kupata usingizi ni kuhakikisha unapunguza nguo zote mwilini.
 
Ahahahaaaa!!!
Acha uoga wewe.
Yaani unaogopa hadi offer ya BREAKFAST?

Sasa ukipewa offer ya Smartphone itakuwaje mkuu!!!

Tunapaswa kuishi kwa upendo
Teh
Hamna cha bure Mkuu, nakumbuka kauli ya mkulu ukila cha mtu nawe lazima uliwe....[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Teh
Hamna cha bure Mkuu, nakumbuka kauli ya mkulu ukila cha mtu nawe lazima uliwe....[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hakua na maana hiyo Sakayo.
Alimaanisha kwamba ili tupate faida zaidi kwenye sekta ya ITALIA basi lazima tuingie gharama kijitangaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…