Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,316
Hahaha kwa hali hii ntawaambie mirembe wakurudishe chuoni, ile shahada waliiwahisha kuitoa[emoji40] [emoji125]Mimi aliyeniroga yu hai, namvutia kasi tu na panga nishalinoa vizuri,nikimfikia tu atanirogoa kabla taha sijamkaribia
Huamini nini? Muulize mshiki wako jje's kama nakudanganya....we nenda utafurahina nafsi yakoHahaha kwa hilo imani yangu imekua kama ya Thomaso, hebu nithibitishie hapa kwa kuweka emoj uliyoniwekea kule[emoji39]
Na kweli, akikujibu nishtue kwa kile kiemoj ulichonitumia kule[emoji39][emoji23] [emoji23] [emoji23] Bila shaka umemchosha sana...[emoji126] [emoji126]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] Tungo tata [emoji126] [emoji126] [emoji126]Aisee, akikataa kuamka we mmwagie ataamka tu komredi
Sawa komredi, mpunguzie dozi tafadhali[emoji40] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huko washanishindwa, labda unipeleke kwa dr.bilionea....Hahaha kwa hali hii ntawaambie mirembe wakurudishe chuoni, ile shahada waliiwahisha kuitoa[emoji40] [emoji125]
[emoji36] [emoji36] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Smart911 usije ukafanya kosa la kumleta m-Cc wako huku,kuna mahunter hapa watakuliza ohooo!
Sidhani kama atatujibu,nahisi yuko bize kumwamsha wawahi ibadani [emoji12] [emoji12]Na kweli, akikujibu nishtue kwa kile kiemoj ulichonitumia kule[emoji39]
Sawa komredi, mpunguzie dozi tafadhali[emoji40] [emoji125]
Hunta hahantiwi....[emoji126] [emoji126][emoji36] [emoji36] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Mbona wewe hawajakuhanti[emoji102]
Hahaha aisee, alafu kama nimeona unyayo wa jje's pande hizi saivi siuoni tena, imebaki tu harufu ya mafuta anayojipakaga ya rays.Huamini nini? Muulize mshiki wako jje's kama nakudanganya....we nenda utafurahina nafsi yako
Hahaha punguza uchochezi, nilimaanisha ammwagie maji ya baridi usoni[emoji57][emoji15] [emoji15] [emoji15] Tungo tata [emoji126] [emoji126] [emoji126]
Kwanza leo ni zamu ya nani kulinda? Maana isijekuwa ni zamu yako halafu mimi najipendekeza hapa. Au ni zamu ya jje's ndo maana anatuchungulia kwa mbali?Hahaha aisee, alafu kama nimeona unyayo wa jje's pande hizi saivi siuoni tena, imebaki tu harufu ya mafuta anayojipakaga ya rays.
Nimependa unavyojiamini kama dr.Shika....
Kumbe na wewe ni hunter[emoji15]Hunta hahantiwi....[emoji126] [emoji126]
Alaaa kumbe! Basi ungemalizia hii sentensi sio kuandika nusu nusu,mpaka umenitendesha dhambi bure mtoto wa mwenzio...Hahaha punguza uchochezi, nilimaanisha ammwagie maji ya baridi usoni[emoji57]
jje's utamuweza kwa visa,mimi nilishamwambia awe huru na Kichwa Kichafu wake...Kumbe na wewe ni hunter[emoji15]
Ndo mana mshiki wangu ameamua kumficha yule dirty head hunter of hunterz[emoji85] [emoji125]
[emoji15] [emoji15]Kwanza leo ni zamu ya nani kulinda? Maana isijekuwa ni zamu yako halafu mimi najipendekeza hapa. Au ni zamu ya jje's ndo maana anatuchungulia kwa mbali?
Wacha wee.... Utamuua kwa wivu nduguyo Nleterewa Nganengo [emoji12] [emoji12]