JamiiForums Usiku wa manane

[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Dadek ila sijawahi kukutana na Mwl mtata namna hii, basi niko tayari kuhamishia undakindaki wangu kwenye "elimu gharama"
Ujue bila kufundishwa na wewe sintaelewa kabisa[emoji39]
Hayo ndo maneno.....[emoji39] [emoji39]
Kila kipindi kimoja cha dk 40 utanilipa Tzs mil.1 tu sina hata gharama
 
Tulale bwana,huyo mwenye usiku wake mwenyeww kalala sisi tunakazana hapa utafikiri tunalipwa bwana [emoji12] [emoji12] [emoji12]

Cc No Escape
Kwakweli, ulale unono bundi mrembo, mimi nitakua pembeni yako na rungu langu, kuhakikisha mbu hasogei. Leo zamu yako kuniota[emoji39]
 
Bila shaka wewe ni mngoni,usiniulze kwa nini..[emoji126] [emoji126] [emoji126]
Hahaha hiyo spidi mbona nayo ya Kingoni kabisa,[emoji6].
Mshiki akikusikia umenibatiza hilo kabila lazima ataanzisha mashtaka[emoji40] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…