JamiiForums Usiku wa manane

Yeah! Namuona anajiongezea mtaji kila kukicha,na mtaji wa siasa ni watu.
Wapinzani wake inabidi watafakari vyema jinsi ya kushindana naye
Ni kweli kabisa. Yaan ameanza kuchukua watu wenye ushawishi kwanzia wanasiasa wa upinzani na sasa wasaniii
 
Yeah! Namuona anajiongezea mtaji kila kukicha,na mtaji wa siasa ni watu.
Wapinzani wake inabidi watafakari vyema jinsi ya kushindana naye
Na hisi kabla ya uchaguzi ujao hata wale mashekhe wataachiwa
 
Ni kweli kabisa. Yaan ameanza kuchukua watu wenye ushawishi kwanzia wanasiasa wa upinzani na sasa wasaniii
Huyu jamaa atakuwa amepata mshauri mzuri wa mambo ya siasa,maana yeye si mwanasiasa mzuri kiasi hiki.
Ni vyema wapinzani wake wakajipanga upya badala ya kutupa lawama kila kukicha.
 
Huyu jamaa atakuwa amepata mshauri mzuri wa mambo ya siasa,maana yeye si mwanasiasa mzuri kiasi hiki.
Ni vyema wapinzani wake wakajipanga upya badala ya kutupa lawama kila kukicha.
Naona kama anatembelea ahadi za lowassa hivi
 
Huyu jamaa atakuwa amepata mshauri mzuri wa mambo ya siasa,maana yeye si mwanasiasa mzuri kiasi hiki.
Ni vyema wapinzani wake wakajipanga upya badala ya kutupa lawama kila kukicha.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ngoja tuone wapinzani watakuja na sera gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…