As long zinamwongezea mtaji,sio mbaya.Naona kama anatembelea ahadi za lowassa hivi
Yetu macho.....[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ngoja tuone wapinzani watakuja na sera gani
Asante kamanda kwema huko?Karibu kiongozi
Salama sijui upande kwa upande wako?Karibu sana! Za weekend?
Tunasahau shida za miaka minne kwa kitu cha miezi kadhaaAs long zinamwongezea mtaji,sio mbaya.
Nina uhakika 2019 vyuma vyote vya nchi hii vitalegezwa kwa kiwango cha kustaabisha.
(Ila wanasiasa wanajua kutuchezea akili kisawasawa)
KwemaAsante kamanda kwema huko?
Kwangu kuko shwari kabisa,napunga punga ka upepo hapaSalama sijui upande kwa upande wako?
Inasikitisha sana!Tunasahau shida za miaka minne kwa kitu cha miezi kadhaa
Safii hongera miss, za majukumu?Kwangu kuko shwari kabisa,napunga punga ka upepo hapa
Mimi yangu macho, masikio na akili kutafakari yani mimi na unazi wa vyama ni vitu viwili tofautiYetu macho.....
Au wewe mwenzangu ni mnazi wa chama kimojawapo?
Weekenda inaendaje?Kwema
Bandugu siasa za nchi hii ni noma sana.Inasikitisha sana!
Weekend ipo fresh kabisa jana ilikuwa sikukuu ya babu seya hata uhuru umesahaulikaWeekenda inaendaje?
Majukumu yanasonga adoadoSafii hongera miss, za majukumu?
Hahahaha...!! huku kitaani leo nyimbo zake znapigwa sana, na wengine nimewasikia wakisema mkulu 2020 watampa kura achukue nchi tena baada ya jambo la leoWeekend ipo fresh kabisa jana ilikuwa sikukuu ya babu seya hata uhuru umesahaulika
WenZio akina ney, inna , Kk na Jjes wako wapi?Majukumu yanasonga adoado
Na ukiwa nje ndo unapata fursa ya kuona vyema yanayoendelea vyamani. Vinginevyo utakuwa wa kusifia kila lifanywalo na chama chako na kupinga kila linalofanywa na mpinzani wako.Mimi yangu macho, masikio na akili kutafakari yani mimi na unazi wa vyama ni vitu viwili tofauti
Kuna ule wimbo wao wa salima naukubali sana.Hahahaha...!! huku kitaani leo nyimbo zake znapigwa sana, na wengine nimewasikia wakisema mkulu 2020 watampa kura achukue nchi tena baada ya jambo la leo
Aisee, me naupenda waKuna ule wimbo wao wa salima naukubali sana.
Bwana wee hata sijui wamejificha wapi hawa watu,maana siku hizi watz tumegeuka akina Tola mlia gizani ili watu wasije kudowea....WenZio akina ney, inna , Kk na Jjes wako wapi?